Source:Mwenyekiti wa wamiliki wa Shule binafsi za sekondari,alitoa taarifa hiyo wakati akichangia mada kwenye tuongee asubuhi Star Tv,alieleza kwamba mwanafunzi wa sekondari wa bweni(Tosamaganga) analipiwa na serikali dola 2000 kwa mwaka
Yani ndo ukweli huo senetor na tizo1,jamaa alitafuta habari kwamba serikali inagharamia sh ngapi kwa kila mwanafunzi wa bweni kwa mwaka alifuatilia shule mbili ya kwanza tosamaganga ndo akaona serikali inagharamia USD2000 kwa kila mwanafunzi kwa mwaka
Source:Mwenyekiti wa wamiliki wa Shule binafsi za sekondari,alitoa taarifa hiyo wakati akichangia mada kwenye tuongee asubuhi Star Tv,alieleza kwamba mwanafunzi wa sekondari wa bweni(Tosamaganga) analipiwa na serikali dola 2000 kwa mwaka