Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

Umbali wa km 10 watu wanasafiri cku 40[emoji23][emoji23]
 
Guys hivi nimeeleweka kweli? Maana japo nimeandika mm nimejaribu kusoma ila naona kama sielewi hivi..Bahati mbaya sina njia nyingine ya kuandika hii post ikaeleweka😔😔 😢😢
Baada ya kuisoma mind vizuri ndio nimeuelewa huu uzi. Hakika wewe ni fundi na ni mwalimu mzuri wa akili. Hongera na Mungu akujalie.
 
Baada ya kuisoma mind vizuri ndio nimeuelewa huu uzi. Hakika wewe ni fundi na ni mwalimu mzuri wa akili. Hongera na Mungu akujalie.
Thanks for appreciation mate, Bado najifunza pia.
Maendelezo wake upo hapa.
 
🙏🙏🙏😍
Asante mate
 
You can build a a bridge that you can't cross...
That doesn't mean I won't build many more bridges
 
Mungu yupi unaye refer to,maana hata Shetani naye mungu.Na kwa jinsi mada hii ilivyo andikwa,nadhani sina shaka yeyote your god is
Baphomet.

 
Mungu yupi unaye refer to,maana hata Shetani naye Mungu.Na kwa jinsi mada hii ilivyo andikwa,nadhani sina shaka yeyote your god is
Baphomet.

View attachment 2026899
You're so succumbed and consumed by hate and conspiracy.
Hivi kwanini nyie wasabato na walokole hua mnapendana sana kujiona kua ndio watoto wa Mungu na mnaofaa zaidi?
Chuki zako kwa Wakatoliki hazitakusaidia lolote
 
You're so succumbed and consumed by hate and conspiracy.
Hivi kwanini nyie wasabato na walokole hua mnapendana sana kujiona kua ndio watoto wa Mungu na mnaofaa zaidi?
Chuki zako kwa Wakatoliki hazitakusaidia lolote
Pope Francis si Jesuit yule,sasa mungu wake si Baphomet.Da'Vinci huo ndio ukweli whether you like it or not.Ninyi mnaabudu msichokijua!Na haya majina mnayo okoteza okoteza haya,eti Da'Vinci,unajua maana yake?Kweli ujinga mzigo.
 
Pope Francis si Jesuit yule,sasa mungu wake si Baphomet.
Aliyekudanganya Mungu wa Jesuist ni huyo uliyetaja ni nani?? Au huwajui Jesuits nikuletee historia yake.
huo ndio ukweli whether you like it or not.Ninyi mnaabudu msichokijua!Na haya majina mnayo okoteza okoteza haya,eti Da'Vinci,unajua maana yake?Kweli ujinga mzigo.
Shida yako sasa ipo hapo hutaki mtu akupinge na mtu akikupinga unakimbilia kumu-Attack kwamba ni agent wa shetani. Huwezi kuwa ww ndio upo sahihi kwenye kila mada yako na hutaki kupingwa huo ni Ujima wa reasoning
Ninaabudu ninachokijua maana najua taratibu na hatua za kuabudu

Najua maana ya Da Vinci..
Vinci ni eneo huko italy nadhani lilikua inahusiana na Leonardo.
Leonardo da Vinci
Hiyo da ni kielezi kwamba leonardo anayetokea Vinci.
 
Unajua Da'Vinci,mimi nimefanya tafiti nyingi sana,ndio maana ninakuwa na ujasiri wa kupinga mambo kwa kuwa najua hiki ni kweli na hiki sio.Sasa brother,nikubali vitu ambavyo najua sio kweli,si nitakuwa napotosha.Unajua,tatizo la Wabongo ni kwamba hawapendi knowledge,wao ni Simba na Yanga tuuu,sijui Arsenal,sijui Manchester United,hiyo noma.

Kwa mfano nikuulize,unajua siri iliyopo kwa Vatican kushutumiwa vitendo vya ngono kwa minors kila uchao?Na je,unajua kwamba Vatican wanatoa watoto kafara?This could be a surprise to you,but it is true.

Mwisho,wewe Da'Vince humjui Pope Francis,he is a stauch Jesuit!Nikutonye tu,the Order of the Jesuit is a very evil underground society,na kama unataka naweza kuku-surprise kwa kukuletea taarifa,ila kwa sasa niishie hapo.
 
Kwanza nikuombe radhi kama nitakua nimetumia maneno ya kuudhi katika majibizano yetu. Ni kweli humu watu hatujuani mimi najua hili wewe wajua lile so kuheshimiana ni kitu muhimu.
Mimi sio mpenzi wa mpira kabisa hivyo kwenye mfano huo unitoe, ni kweli RC kumekua kuna kashfa ya vitendo vya ngono kwa makasisi.
Ila Sijawahi kujua kama hua wanatoa makafara watoto, hivyo ningependa unijuze mkuu
Mwisho,wewe Da'Vince humjui Pope Francis,he is a stauch Jesuit!Nikutonye tu,the Order of the Jesuit is a very evil underground society,na kama unataka naweza kuku-surprise kwa kukuletea taarifa,ila kwa sasa niishie hapo.
Nikweli simjui maana nimebase kwenye upande wake mwema tu kama kiongozi wa kanisa langu.. Jesuist ningependa unieleze kwa undani labda nachojua mimi ni kidogo kati ya mengi yaliyopo.

Naomba tujuzane mkuu ndio kazi ya jukwaa hili kushea yale tunayofahamu...Elimu si elimu kama itafichwa makabatini na vichwani ndio maana watu huandika vitabu ili tujifunze. So nielezee kama hutajali
 
Nitakuletea taarifa za the Jesuits na kafara zinazotolewa Vatican,Ila naomba unihakikishie kwamba hutaziita conspiracies kwa kuwa sina sababu yeyote ya ku-conspire against the RCs.Nia yangu ni ku-expose evil,ili watu wasidanganywe na wafanye informed decisions.
 
Kwanza anzia na hiki kinachoitwa the Extreme Oath of the Jesuits,utagundua kwamba no ushetani mtupu na hakuna Mungu kabisa hapo.


https://www.facebook.com/
 
Ungepata hiki kitabu ungeijua Vatican kwa undani sana,Ila hii summary nadhani inatosha kupata picha.


Amazon product ASIN B07734P2HR
 
Kwanza anzia na hiki kinachoitwa the Extreme Oath of the Jesuits,utagundua kwamba no ushetani mtupu na hakuna Mungu kabisa hapo.


https://www.facebook.com/
Lakini mkuu kazi kuu ya Jesus society ni kulinda imani katoliki kwa upanga na msalaba . Nadhani unajua jinsi ukristo unavyopigwa vita niliwahi kuandika mada hiyo

Mwaka1539 ininyo akishirikiana na marafiki zake alianzisha sirika la Jesus Society(Jesuist) yeye akiwa kiongozi mkuu, Hapo tayari alikua haitwi tena Ininyo bali Ignatius, Jesuit ililasimishwa na pope paul III mwaka 1540, Ignatus aliwatuma marafiki zake wale kama wamisionari wake kuzunguka bara lote la ulaya..lengo kuu ilikua kujenga shule,vyuona seminari za kikatoliki ulaya yote. Mwaka 1553 Ingantius aliandika katiba ya shirika la Jesuist akisaidiana na secretary wake Alfonso de Polanco alisisitiza kujikana na utii kwa Papa na kwa wakuu katika uongozi wa Kanisa, kwa kutumia kauli mbiu ya perinde ac cadaver yaani “ kama mwili uliokufa/mfu",akimaanisha kwamba mshirika wa kundi la Jesuist anapaswa kuwa na nidhamu kama mtu aliyekufa. Baadae kanuni yake ya Ad maiorem Dei gloriam ("kwa ajili ya utukufu mkuu wa Mungu’) ndio ikawa kauli mbiu kuu ya shirika la jesuist

Santa alleanza
Jesus society walitembea na vitu vitatu imani,elimu na afya. waliamini kwamba ili kanisa lidumu kwanya watu wake wapewe elimu na afya bora kisha wapondwe pondwe mioyo yao kwa imani..kwa kufuata farsafa hiyo JS wamejenga shule,vyuo,seminari na hospitali nyingi sana duniani kote. Ndio maana utakuta parokia inamiliki shule na hospitali au wanakua na maeneo makubwa kwa ajili ya kutoa huduma mbalimbali zakijamii.

Mbali na hayo pia Jesuist ipo kama kitengo binafsi ndani ya kanisa ambacho lengo lakekuu ni kuhakikisha Kanisa katoliki kama taasisi na Imani inaendelea kuwepo kwa kulindwa iwe kwa hali yoyote, sasa basi walipowekeya zaidi kwenye elimuhapo ndio walipojipatia point muhimu za mezani. Kupitia elimu inayotolewa kwenye shule na seminari za katoliki wameweza kuana ushawishi wa serikali nyingi hapa duniani maana viongozi wengi wa serikali na watu wengi wenye ushawishi kwenye jamii ni zao la Jesuist, hivyo wanapata nafasi ya kua na sauti kwenye nchi mbalimbali. Nyerere pia ni zao la jesuist ndio maana alipokua raisi tu alilikabidhi taifa chini ya uangalizi wa mama Bikira Maria..japo watu wa upande wapili hawakupenda kitu hicho ndio maana hua wanamuAddress Kama dikteta na kafir.
 
Tuwaaminije hao waliondika kitabu wakati na wao ni wapinzani wa dini ya catholic?.kwanini ww unawaaamini tuanzie hapo kwanza.
Ndani ya Jesuist lilianzishwa shirika la Kukusanya na kuchabua taarifa mbalimbali/shirika la kijasusi linaloitwa Santa alleanza (holy alliance) au LeEntita. shirika hili lilianzishwa na Papa Pius V mwaka 1566 kauli mbiu yake ni Cum cruce et gradio wakiwa na maana ya "kwa upanga na msalaba", kazi yake ni kukusanya na kuchambua taarifa mbalimbali zihusuzo waumini,imani,siasa,teknolojia,karibia kila nyanja wapo. wanakila taarifa ya muumini wao kupitia usajili unaofanya wakati unabatizwa lakini pia kazi yao ya kukusanya taarifa inafanywa kwa weredi na urahisi zaidi maana wanakusanya taarifa kupitia jumuia ndogondogo za kikristo.

ikumbukwe Ignatus luyola hadi anakufa hakuwahi kua padri ila ni mapenzi yake juu ya imani ya kikaktoliki ndio ilifanya akafanya haya, alitamani kuona imani ya kikristo inakua na kua imara zaidi duniani mpaka ukamilifu wa dahari. pongezi za dhati zimwendee kwa kujitoa kwake....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…