Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kama ulikua hujui kuwa Duniani kuna Daraja ambalo wakandarasi liliwatoa jasho na wengine kukimbia wacha nikufamishe.
Daraja hilo lipo barani Afrika upande wa Afrika Mashariki nchini TANZANIA, Ndio, lipo TANZANIA mkoa wa MARA wilaya ya BUTIAMA kata ya BUKABWA Kijiji kiitwacho KIRUMI.
Daraja hilo linaitwa DARAJA LA KIRUMI, Lipo katika Kijiji kiitwacho KIRUMI katika mto MARA. Hili daraja brother katika ujenzi wake palitokea mambo mengi ya ajabu ajabu.
Mambo ambayo yaliwafanya wakandarasi kukiona cha mtema kuni, Daraja hilo la KIRUMI lina urefu wa mita 223.3.
Lilianza kujengwa Mwaka 1978 na Kampuni ya kichina ya H Ang. Mto huo ni mpana na una kina kirefu sana, Sasa kampuni hiyo ilikuja na wazo la kuangusha mlima Kwani pembezoni mwa huo mto kuna mlima unaitwa mlima KIRUMI.
Lengo lao udongo na mawe ya mlima huo wayatumbukize kwenye mto, Ili kupunguza upana na kina cha Mto MARA lakini walishindwa.
Ilipofika mwaka 1979, zabuni ilichukuliwa na Wakaburu. Kampuni ya Morem kutoka AFRIKA KUSINI pia nao walishindwa. Hawakuweza kuendelea kutokana kila siku walikuta vifaa vyao vinaelea kwenye maji alievipeleka hawamjui.
Wakienda kuvichukua usiku wakilala vinarudi tena kwenye maji. Wakiamka asubuhi wanavikuta kwenye maji wakaamua kusepa.
Mwaka 1980 Zabuni ikawaangukia Wahindi Kampuni ya Mauradadi. Hawa walianza ujenzi kwa kuchimbia nguzo karibu na kwenye maji.
Walikiona cha moto maana kulitokea tetemeko kubwa lililosikika hapo Mlima KIRUMI. Tetemeko ambalo lilipelekea kuvunjwa vunjwa nguzo zote.
Na kusukumwa mpaka Ziwa Victoria Wilaya ya Musoma. Kwasababu mto huo unamwaga maji yake katika Ziwa Victoria. Mwaka huo huo, wakaingia Kampuni ya lenari (COWIconsult) kutoka nchini Italia.
Hawa jamaa nao walikumbana na chamoto mbili kama ifuatavyo;-
Ya kwanza wakati wanajenga jiwe la msingi, Kila siku wakiamka walikuta wamemwagiwa shahawa kwenye makalio.
Walivumilia na kutunza siri mpaka wakafanikisha kujenga Jiwe la Msingi ili rais aje kuzindua ujenzi uanze. Rais Mwl. Julius Kambarage Nyerere ndiye aliyekuwa Mgeni Rasmi katika Uwekaji wa Jiwe la Msingi.
Hata hivyo siku moja kabla ya hafla uzinduzi wa jiwe la msingi ili ujenzi uanze changamoto ya pili ikajitokeza.
Tetemeko la ardhi likapita na kusababisha kupasuka na kuanguka kwa Msingi wote. Pamoja na Tukio hilo Rais akafika siku iliyopangwa kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la msingi.
Lakini ilishindikana ilibidi waahirishe na Rais Nyerere hakuweza kushuka hata Kwenye gari. Waitaliano baada ya kuona mambo yanazidi kuwa magumu.
Waliona ni bora wayaweke wazi mambo wanayofanyiwa usiku. Halafu wakaomba likizo wakakubaliwa wakaenda kwao. Baada ya mwezi Mmoja walirudi ujenzi uliendelea bila shida hadi kukamilisha.
Mwezi Novemba, Mwaka 1985 Daraja la KIRUMI lilifunguliwa na Rais wa Awamu ya Kwanza Mwl. Julius K. Nyerere. Mpaka sasa daraja hilo lipo na linatumika hadi leo.
Hakuna tena cha matetemeko wala Maajabu mengine.
Daraja hilo lipo barani Afrika upande wa Afrika Mashariki nchini TANZANIA, Ndio, lipo TANZANIA mkoa wa MARA wilaya ya BUTIAMA kata ya BUKABWA Kijiji kiitwacho KIRUMI.
Daraja hilo linaitwa DARAJA LA KIRUMI, Lipo katika Kijiji kiitwacho KIRUMI katika mto MARA. Hili daraja brother katika ujenzi wake palitokea mambo mengi ya ajabu ajabu.
Mambo ambayo yaliwafanya wakandarasi kukiona cha mtema kuni, Daraja hilo la KIRUMI lina urefu wa mita 223.3.
Lilianza kujengwa Mwaka 1978 na Kampuni ya kichina ya H Ang. Mto huo ni mpana na una kina kirefu sana, Sasa kampuni hiyo ilikuja na wazo la kuangusha mlima Kwani pembezoni mwa huo mto kuna mlima unaitwa mlima KIRUMI.
Lengo lao udongo na mawe ya mlima huo wayatumbukize kwenye mto, Ili kupunguza upana na kina cha Mto MARA lakini walishindwa.
Ilipofika mwaka 1979, zabuni ilichukuliwa na Wakaburu. Kampuni ya Morem kutoka AFRIKA KUSINI pia nao walishindwa. Hawakuweza kuendelea kutokana kila siku walikuta vifaa vyao vinaelea kwenye maji alievipeleka hawamjui.
Wakienda kuvichukua usiku wakilala vinarudi tena kwenye maji. Wakiamka asubuhi wanavikuta kwenye maji wakaamua kusepa.
Mwaka 1980 Zabuni ikawaangukia Wahindi Kampuni ya Mauradadi. Hawa walianza ujenzi kwa kuchimbia nguzo karibu na kwenye maji.
Walikiona cha moto maana kulitokea tetemeko kubwa lililosikika hapo Mlima KIRUMI. Tetemeko ambalo lilipelekea kuvunjwa vunjwa nguzo zote.
Na kusukumwa mpaka Ziwa Victoria Wilaya ya Musoma. Kwasababu mto huo unamwaga maji yake katika Ziwa Victoria. Mwaka huo huo, wakaingia Kampuni ya lenari (COWIconsult) kutoka nchini Italia.
Hawa jamaa nao walikumbana na chamoto mbili kama ifuatavyo;-
Ya kwanza wakati wanajenga jiwe la msingi, Kila siku wakiamka walikuta wamemwagiwa shahawa kwenye makalio.
Walivumilia na kutunza siri mpaka wakafanikisha kujenga Jiwe la Msingi ili rais aje kuzindua ujenzi uanze. Rais Mwl. Julius Kambarage Nyerere ndiye aliyekuwa Mgeni Rasmi katika Uwekaji wa Jiwe la Msingi.
Hata hivyo siku moja kabla ya hafla uzinduzi wa jiwe la msingi ili ujenzi uanze changamoto ya pili ikajitokeza.
Tetemeko la ardhi likapita na kusababisha kupasuka na kuanguka kwa Msingi wote. Pamoja na Tukio hilo Rais akafika siku iliyopangwa kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la msingi.
Lakini ilishindikana ilibidi waahirishe na Rais Nyerere hakuweza kushuka hata Kwenye gari. Waitaliano baada ya kuona mambo yanazidi kuwa magumu.
Waliona ni bora wayaweke wazi mambo wanayofanyiwa usiku. Halafu wakaomba likizo wakakubaliwa wakaenda kwao. Baada ya mwezi Mmoja walirudi ujenzi uliendelea bila shida hadi kukamilisha.
Mwezi Novemba, Mwaka 1985 Daraja la KIRUMI lilifunguliwa na Rais wa Awamu ya Kwanza Mwl. Julius K. Nyerere. Mpaka sasa daraja hilo lipo na linatumika hadi leo.
Hakuna tena cha matetemeko wala Maajabu mengine.