Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Kuna michezo mingi watu huifanya hasa wanapotaka kuuza gari ,hapa wengi hufanya mchezo wa kushusha km ilinwaweze kuliuza garinkwa haraka, na kwa pesa ndefu. Wengi hufanikiwa kasheshe inakuja kwa aliyelinunua unakuta linamzingua vibaya kutokana na kuchengana kwa data za service.
Technolojia ina mengi na inaumiza wengi wasio kuwa na uelewa nayo. Kumbe kuna wimbi kubwa sana la watu wana agiza magari kutoka nje na hata kununua kwenye show room za hapa Bongo kwa kigezo cha kuangalia kilomita zilizotembewa na kufanya ndio kipimo cha ubora na ubora wa gari, wanajikuta wanangukia pua.
Hapo wengi wanaingia sana mkenge kwa kuwa kilomita za gari zinashushwa ili kukuvutia mnunuaji kwa nchi za wenzetu ni kosa kisheria. Hasa ujerumani nimekaa sana Na ninapafahamu vyema yaani ukigundulika umefanya hivyo ni sawa na muuaji ila sijajua kwa Bongo imekaaje
Lengo la mada hii la kuiweka hapa ni kuwa hapa ni sehemu sahihi sababu kuna wataalam wa IT. Swali l kubwa watu hujiuliza, je haiwezekani kutambua kuwa gari hii iliwahi kushushwa kilomita? Nimeshawishika kufikiria hivi baada ya kukumbuka kuwa kwenye hard disc au memory card vitu vikifutwa unaweza kufanya back up na ukavipata tena.
Sasa kwa kuwa kwenye dash board za magari/cluster kilomita zilizotembewa na gari huwa zinahifadhiwa kwenye EEPROM,
Ipo namna ya kutambua kwamba data zilizomo kwenye eeprom zilisha wahi editiwa? Japo mchakato wale ni mrefu kidogo na unahitaji mtu makini mwenye vifaa iwe kwa kutambua mwanzo ilikuwa na km ngapi au hata kwa kutambua tu kuwa eeprom hii ishawahi fanyiwa ujanja?
Japo kushusha ni rahisi sana kama ukiwa na mshine ya OBD ZILE KUBWA au ukiwa na laptop yenye softwear za magari kwa ajili ya EEPROM japo watengenezaji wa magari kama Toyota, Nissan, Honda hiki ni kitu wana ki-burn sana japo bongo watu wanafanya.
JE, WEWE UNADHANI NJIA GANI INAWEZA KUTUMIKA KWA HARAKA KUTAMBUA KUWA KM ZIMESHWA TUSHIRIKISHE KARIBU KWA MJADALA
Source😀ominique Maguhwa - TANZANIA USED CARS MARKET(THE TOP GEAR)
Technolojia ina mengi na inaumiza wengi wasio kuwa na uelewa nayo. Kumbe kuna wimbi kubwa sana la watu wana agiza magari kutoka nje na hata kununua kwenye show room za hapa Bongo kwa kigezo cha kuangalia kilomita zilizotembewa na kufanya ndio kipimo cha ubora na ubora wa gari, wanajikuta wanangukia pua.
Hapo wengi wanaingia sana mkenge kwa kuwa kilomita za gari zinashushwa ili kukuvutia mnunuaji kwa nchi za wenzetu ni kosa kisheria. Hasa ujerumani nimekaa sana Na ninapafahamu vyema yaani ukigundulika umefanya hivyo ni sawa na muuaji ila sijajua kwa Bongo imekaaje
Lengo la mada hii la kuiweka hapa ni kuwa hapa ni sehemu sahihi sababu kuna wataalam wa IT. Swali l kubwa watu hujiuliza, je haiwezekani kutambua kuwa gari hii iliwahi kushushwa kilomita? Nimeshawishika kufikiria hivi baada ya kukumbuka kuwa kwenye hard disc au memory card vitu vikifutwa unaweza kufanya back up na ukavipata tena.
Sasa kwa kuwa kwenye dash board za magari/cluster kilomita zilizotembewa na gari huwa zinahifadhiwa kwenye EEPROM,
Ipo namna ya kutambua kwamba data zilizomo kwenye eeprom zilisha wahi editiwa? Japo mchakato wale ni mrefu kidogo na unahitaji mtu makini mwenye vifaa iwe kwa kutambua mwanzo ilikuwa na km ngapi au hata kwa kutambua tu kuwa eeprom hii ishawahi fanyiwa ujanja?
Japo kushusha ni rahisi sana kama ukiwa na mshine ya OBD ZILE KUBWA au ukiwa na laptop yenye softwear za magari kwa ajili ya EEPROM japo watengenezaji wa magari kama Toyota, Nissan, Honda hiki ni kitu wana ki-burn sana japo bongo watu wanafanya.
JE, WEWE UNADHANI NJIA GANI INAWEZA KUTUMIKA KWA HARAKA KUTAMBUA KUWA KM ZIMESHWA TUSHIRIKISHE KARIBU KWA MJADALA
Source😀ominique Maguhwa - TANZANIA USED CARS MARKET(THE TOP GEAR)
