haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 978
- 2,313
Unalalamika ndugu hawakuthamin, unahela?
Unasema wadogo zako hawakuheshim, unahela?
Ooh mke wangu anadharau, unahela? Umemzidi hela?
Jirani zangu/ wapangaji wananiroga, je unahela?
Wamefanya shughuri yao hawakuniambia, je unahela?
Nikitongoza nakataliwa, ok je unahela?
Mashemeji /mawifi wananichukia, je unahela?
Mtoto wa fulan kaja kwangu hajafika, ndio. Je unahela?
Nimefika kwenyeshughuri watu kma hawanijui, ata hawajanijali. Je unahela?
Wapangaji maneno maneno , na leo ntawasema nimewaamulia. Je unahela?
Mimi sipendagi magari makubwa , napenda vidogo, je unahela?
Ulimwengu tulionao matatizo mengi yanaweza tatuliwa kwa pesa, tutafute pesa vijana, na Mungu awe mbele pia . umasikini ni janga.
Unasema wadogo zako hawakuheshim, unahela?
Ooh mke wangu anadharau, unahela? Umemzidi hela?
Jirani zangu/ wapangaji wananiroga, je unahela?
Wamefanya shughuri yao hawakuniambia, je unahela?
Nikitongoza nakataliwa, ok je unahela?
Mashemeji /mawifi wananichukia, je unahela?
Mtoto wa fulan kaja kwangu hajafika, ndio. Je unahela?
Nimefika kwenyeshughuri watu kma hawanijui, ata hawajanijali. Je unahela?
Wapangaji maneno maneno , na leo ntawasema nimewaamulia. Je unahela?
Mimi sipendagi magari makubwa , napenda vidogo, je unahela?
Ulimwengu tulionao matatizo mengi yanaweza tatuliwa kwa pesa, tutafute pesa vijana, na Mungu awe mbele pia . umasikini ni janga.