obvious bra dreamliner, iko wazi kabisa ndio maana hajaweka wazi kila kitu, in the long run atasema niPMBei zako zikoje kaka? au unaweka cha juu % ngapi?
Kama ni kuagiza kutoka Japan, kuna unafuu gani kuagiza kupitia mtu wa kati na mtu kuagiza mwenyewe directly?
Kama unayo showroom na umeshaagiza tayari yako incountry then it will make sense.
nahitaji HIno Bus pasengers 29 bei gani kwa wa Jep? la mwaka 1991 mpaka bongo bei gani na ushuru nijulishe ili tuweze kuwasiliana kwa mail yako ok mukubwa
Bei zako zikoje kaka? au unaweka cha juu % ngapi?
Kwa wale wanaotaka kuagiza gari kutoka Japan,tuwasiliane, e mail;
myaboyz@yahoo.com. Nitakusaidia kupata gari nzuri kwenye auctions za Japan.
dada usiwe nyuma kiasi hicho huo ni ubaili harafu kumbuka kuwa hata Jep kuna kanya boya kama kawa, sa bora umwagize mtu akununulie? kwanza mi nimeshuhudia mtu kaagiza gari toka japani aliloliona ktk net siyo aliloletewa,Kama ni kuagiza kutoka Japan, kuna unafuu gani kuagiza kupitia mtu wa kati na mtu kuagiza mwenyewe directly?
Kama unayo showroom na umeshaagiza tayari yako incountry then it will make sense.
Mkuu, je used parts unaweza kuniagizia?
dada usiwe nyuma kiasi hicho huo ni ubaili harafu kumbuka kuwa hata Jep kuna kanya boya kama kawa, sa bora umwagize mtu akununulie? kwanza mi nimeshuhudia mtu kaagiza gari toka japani aliloliona ktk net siyo aliloletewa,
Naomba kufahamu wasifu wako wa kazi! Ikiwezekana tuwekee humu jamvini! Bongo matapeli ni wengi mno!Kwa wale wanaotaka kuagiza gari kutoka Japan,tuwasiliane, e mail;
myaboyz@yahoo.com. Nitakusaidia kupata gari nzuri kwenye auctions za Japan.
Mkuu,used parts unapata bila matatizo.Ukihitaji tuwasiliane.
tuwasiliane kwa njia gani? email uliyoweka myaboyz@yahoo.com haipokei ujumbe, weka namba yako ya simu itakuwa rahisi kufanya mawasiliano
usalama wa pesa na mali upo vp mkuu