Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Wadau naamini hamjambo!
Kuna Kampuni inajishughulisha na ukopeshaji wa Solar system kwa masharti nafuu sana. Utakopeshwa mtambo huo kwa masharti nafuu na utarejesha baada ya miaka mitatu baada ya kufungiwa. Kama unahitaji tafadhali wsiliana nami ili niweze kukupa utaratibu wao.
Hata kama wewe tayari una umeme wa Tanesco; bado huduma ya solar ni ya muhimu kwako kwani umeme wetu wa Tanesco hauna uhakika na kibaya zaidi wanapenda kukata umeme nyakati za usiku ambapo usalama wa nyumbani kwako unakuwa hatarini. Binafsi nimeishajiunga na huduma yao na ndo maana nimeona nikushirikishe wewe mdau mwenzangu wa hapa JF.
Labda nifafanue kwa ufupi;
Category one: Inawasha taa 10, inachaji simu, unawasha Tv ya solar
Category two: Inawasha laptop, taa 15, Tv ya Solar na kuchaji simu
Category three Inawasha taa 20, Jokofu, Tv na kuchaji simu
Ukishalipia unapewa vifaa vyako unaondoka navyo; then mafundi wao wanakuja kukufungia nyumbani kwako bila gharama yoyote.
Kama una swali lolote niulize nitakujibu.
Napatikana kwa 0754533543.
Kuna Kampuni inajishughulisha na ukopeshaji wa Solar system kwa masharti nafuu sana. Utakopeshwa mtambo huo kwa masharti nafuu na utarejesha baada ya miaka mitatu baada ya kufungiwa. Kama unahitaji tafadhali wsiliana nami ili niweze kukupa utaratibu wao.
Hata kama wewe tayari una umeme wa Tanesco; bado huduma ya solar ni ya muhimu kwako kwani umeme wetu wa Tanesco hauna uhakika na kibaya zaidi wanapenda kukata umeme nyakati za usiku ambapo usalama wa nyumbani kwako unakuwa hatarini. Binafsi nimeishajiunga na huduma yao na ndo maana nimeona nikushirikishe wewe mdau mwenzangu wa hapa JF.
Labda nifafanue kwa ufupi;
Category one: Inawasha taa 10, inachaji simu, unawasha Tv ya solar
Category two: Inawasha laptop, taa 15, Tv ya Solar na kuchaji simu
Category three Inawasha taa 20, Jokofu, Tv na kuchaji simu
Ukishalipia unapewa vifaa vyako unaondoka navyo; then mafundi wao wanakuja kukufungia nyumbani kwako bila gharama yoyote.
Kama una swali lolote niulize nitakujibu.
Napatikana kwa 0754533543.