Je, unahitaji kumiliki simu ya ndoto yako kwa bei nafuu? Usiache kupitia huu uzi

SMARTPHONES CENTER 🏁🏁🏁
ANDROID MIX BOXED
PRICE LISTS

INFINIX

NOTE30 GB256+16{500,000}
NOTE12 GB 128+4{400’000}
HOT40 GB 256+16{430’000}
SMART7 HD GB 64+2{250,000}
Hot40! Gb 128+4{330,000}
SMART8 GB 64{280,000}
Note40 gb 256+16{6400,000}
Hot40 pro gb 256+16{540,000}
Smart8 plus gb 128+4{300,000}



TECNO
Spark20pro+ go 256+16{620,000}
Spark20 gb 256{430’000}
Spark20 gb 128+8{320,000}
Spark10 pro gb 256+16{420’000}
Pop8 gb 128{300,000}
Pop8 gb 64+4{280,000}
Camon30 gb 258+16{680,000}
Camon20 gb 256+16{530,000}
Camon20pro gb 256+8{520,000}

SAMSUNG

A04e gb 32+{250,000}
A03 core gb 32{250,000}⏳
A05 gb 128+4{325,000}
A05 gb 64+4{290,000}
A05s gb 64+4{320,000}
A05s gb 128+4{370,000}
A15 gb 128{370,000} Offer Price
A04s gb 64+4{340,000}
A14 gb 64+4{370,000}


ITEL

It A70 gb 128+4{240,000}
ItA04 gb 32+2{200,000}
ItA18s gb 32+1{180,000}
It A18 gb 32{170,000}
It p40 gb 64+4{220,000}

REDMI

Redmi 13c gb 128+4{330’000}
Redmi 13c gb 256{390,000}
Redmi A2+ gb 32{250,000}
Redmi A3 gb 128+4{300,000}
Redmi A3 gb 64+4{285,000}


Philips
Fun100{50,000}
Fun 101{55,000}
Essence c10 gb 64{255,000}
Essence c20 gb 128{280,000}
CALL US ON:
☎️ 0676721372
______________________
πŸ“Dar es Salaam {Kariakoo, Msimbazi & Aggrey.}
 
hivi feedback za ambao walishagachukuaga simu toka kwenye huu uzi hata sizionagi, maana kwamba hawapo . Sasa wale wa mikoani tutaaminije ya kuambiwa kuwa ni smartphone genuine & clean? mbona kama kuna kitu
 
hivi feedback za ambao walishagachukuaga simu toka kwenye huu uzi hata sizionagi, maana kwamba hawapo . Sasa wale wa mikoani tutaaminije ya kuambiwa kuwa ni smartphone genuine & clean? mbona kama kuna kitu
Mbona hujiulizi kuhusu feedback za ambao pengine washatapeliwa / kuuziwa simu ambazo sio genuine kupitia huu uzi mkuu πŸ˜„

Usipende kuwaza negative, wengine moyo wa kula pesa ambazo hatujazitolea jasho hatuna, karibu na ondoa wasiwasi; simu ni clean sana hazina aja ya return.
 
Hii inawahusu wafanyakazi wa fire
 
Samsung Galaxy s21 Ultra

Battery 5000mAhπŸ”‹
CAMERA 108 MP πŸ“Έ
Fingerprint Mbele ya kioo
Zimenyooka kama rula
128gb + 8gb RAM

πŸ’°Pin Dot 780,000 tu
Full Boxed [Original LCD]
πŸ’°128Gb @ 850,000/=
πŸ’°256gb @950,000/=

πŸ“Kariakoo, Aggrey & Msimbazi st.
πŸ“Œ
Mashine ya KAZI

CALL US ON:
☎️ 0676721372
______________________
πŸ“Dar es Salaam {Kariakoo, Msimbazi na AGGREY st.}
 
MTEJA UNAEKUJA DUKANI KWETU KARIAKOO UKIFIKA MTAA WA AGGREY AU MSIMBAZI PIGA SIMU UTAKUJA KUPOKELEWA NA KULETWA DUKANI MOJA KWA MOJA HAKUNA HAJA YA KUWASHA LOCATION/KUTUMIA GOOGLE MAP UTAPOTEA AU KUCHELEWA KUFIKA.

Piga simu usitume meseji ☎️ 0676721372

KARIBUNI SANA 🀝
 
SHARP AQUOS R6
Waterproof πŸ’¦
128GB + 12gb RAM
Bei zimekufa
from ~400,000~
Mje na 375,000/= tuβœ…
BIG BATTERY zinakaa sana Chaji


CALL US ON:
☎️ 0676721372
_____________
πŸ“Kariakoo, Aggrey & Msimbazi st.
 
MFALME WETU kwanini unasisitiza stiker zisitolewe? Inamaana nikinunua simu nisitoe hiyo stiker maisha yake yote ntakayoitumia?
Sticker zisitolewe ndani ya kipindi cha warranty peke yake [6 months] ili simu ikipata changamoto yoyote uweze kurudisha dukani kwa ajili ya kutatua iyo changamoto kwa kufanyiwa exchange so unapoirudisha dukani ili kujiridhisha kama kweli ni simu iliyotoka dukani kwetu tunahakiki kwa kuangalia izo sticker maana sisi pia tunapochukua simu Dubai/China/USA huwa tunapewa warranty, bila izo stickers hatuezi kurudisha endapo simu itakugundulika kuwa na changamoto yoyote. Karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…