George Upina
Member
- Feb 26, 2011
- 10
- 27
RIJK ZWAAN ni kampuni iliyobobea kwenye utengenezaji wa mbegu bora za mboga mboga. Kwa tanzania tuna matawi mawili Arusha (Q SEM na AFRISEM). Pia tuna tawi jipya Mwanza na sasa Bagamoyo. Kutoka kwetu utapata mbegu za Nyanya (Round to Oval and Cherry) utakazoweza kuvuna kwa muda wa miezi mpaka 7 ndani ya greenhouse na miezi minne nje (ukiwa na system nzuri ya umwagiliaji kama Drip irrigation). Tuna hoho za rangi (Green, Yellow, Orange na Red) tuna paplikas,Matangomafupi na marefu, tuna Matikiti, Sweet melon, Beet roots, Ngogwe (Nyanya chungu), Bilinganya, Lettuce, Cauliflower, na nyingine nyingi isipokuwa kitunguu.
Siyo kama makampuni mengine, RIJK ZWAAN baada ya kukuuzia mbegu inakupa ushauri popote pale ulipo bureeee.
Greenhouse ni technologia mpya hivyo anayeumia ni mkulima maana kila makampuni yanataka kumfaidi hivyo mkulima asipokuwa makini anajikuta ameijiingiza kwenye kampuni isiyo sahihi. Tunajivunia kwamba wakulima wakubwa tanzania kama Ngongoseke Farms (Magu Mwanza), Lusana Farms (Geita) nawakulima wengine wa Arusha, Moshi, Lushoto, Bagamoyo hadi Zanzibar wanatumia Mbegu kutoka RIJK ZWAAN.
Utakutana na wtaalamu waliobobea kwenye kilimo cha mboga mboga na watakuhudumia popote pale ulipo.
Like page yetu pia ya Rijk zwaan Tanzania kwenye Facebook na pia unaweza pitia web site yetu Homepage - Rijk Zwaan.
Kwa Mawasiliano mengine piga 0762 682 824 au 0713 888 913 email g.upina@rijkzwaan.com
Siyo kama makampuni mengine, RIJK ZWAAN baada ya kukuuzia mbegu inakupa ushauri popote pale ulipo bureeee.
Greenhouse ni technologia mpya hivyo anayeumia ni mkulima maana kila makampuni yanataka kumfaidi hivyo mkulima asipokuwa makini anajikuta ameijiingiza kwenye kampuni isiyo sahihi. Tunajivunia kwamba wakulima wakubwa tanzania kama Ngongoseke Farms (Magu Mwanza), Lusana Farms (Geita) nawakulima wengine wa Arusha, Moshi, Lushoto, Bagamoyo hadi Zanzibar wanatumia Mbegu kutoka RIJK ZWAAN.
Utakutana na wtaalamu waliobobea kwenye kilimo cha mboga mboga na watakuhudumia popote pale ulipo.
Like page yetu pia ya Rijk zwaan Tanzania kwenye Facebook na pia unaweza pitia web site yetu Homepage - Rijk Zwaan.
Kwa Mawasiliano mengine piga 0762 682 824 au 0713 888 913 email g.upina@rijkzwaan.com