Je wewe ni mwanafunzi wa level yoyote (Sekondari, Chuo n.k) na unahitaji ushauri kuhusu Combination/course gani ya kuchukua/kusomea/ chuo gani cha kusoma ndani na nje ya nchi? usisite wasiliana name kwa PM na nitakusaidia bila gharama yoyote. PAMOJA TUNAWEZA