Je, unaifahamu Tecno pova neo gaming phone?

Je, unaifahamu Tecno pova neo gaming phone?

TECNO Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 6, 2016
Posts
192
Reaction score
217
Pova neo.png


POVA Neo ni toleo la bei nafuu zaidi la Tecno POVA 2. Sifa kuu za simu hii ni kioo kubwa na betri. Akizungumzia muonekano ina kioo cha inchi 6.82 chenye pikseli 720 x 1640, na sehemu ya mbele ya ina kamera ya selfie yenye 8MP.

Kwa ndani, Tecno POVA Neo ina processor kubwa kabisa ya MediaTek MT6762V ambayo ina 4×1.8GHz na 4×1.5GHz Cortex-A53 CPU. Pia simu hii ina 4GB RAM na 64GB internal storage, ambayo inaweza kupanuliwa hadi 128GB kupitia memory card.

Kwenye upande wa nyuma kuna Kuna kamera mbili, ile main kamera ina megapixel 13 na kamera ya pili ina megapixel 2, uku ikiwa na flash 4 za LED nne.

Tecno-Pova-Neo.jpg

Simu hii inakuja na alama ya vidole ambayo iko nyuma ya simu.Bila kusahau simu hii imeboreshwa kwenye upande wa betri na chaji ambapo inakuja na betri ya 6000mAh na 18W za fast charging, huku ikiwa na Google Android 11, yenye HiOS 7.6 .
Maelezo kamili ya Tecno POVA Neo tembelea tovuti yetu: Product list
 
Betri yake ikiharibika kupata nyingine inagharimu sh ngapi?
 
Boss tuambie nini kimetokea mpaka wachukua hatua ya kusema sisi matapeli
Acheni utapeli nyie
Muwape zawadi zao washindi wa shindano mliloanzisha kipindi cha Afcon ambalo kwa utapeli wenu mmefuta hata nyuzi za shindano

Pitieni pm zenu msijisahaulishe
 
Back
Top Bottom