Je unajua Dola ya MISRI( ancient black egyptian) ya zamani walikuwa walikuwa wasomi na wanasansi?

Je unajua Dola ya MISRI( ancient black egyptian) ya zamani walikuwa walikuwa wasomi na wanasansi?

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,800
Reaction score
2,339
Ebu cheki baadhi ya michoro hiyo. Je sisi watu weusi ni sahihi kuitwa tulikuwa hatujui kusoma na kuandika?

12.PNG2.PNG3.PNG4.PNG
Angalia picha ya tatu kuna helicopta ya kisasa na ya egyptian wanajf tuambizane mzungu alituharibu tuamke kizazi hiki siri yetu ilichukuliwa na wazungu leo wanajifanya ndio walioleta ustaarabu. Look very clossely to this pictures you will know how scientific achievement of black people reached its peak in ancient Egypt.

Hapo juu nilitaka watu waelewe kuwa waafrika tulikuwa mbali sana katika sayansi ila wagiriki waliiba vitabu vingi sana kutoka maktaba ya misri ya wakati ule hasa chuo kikuu cha Alexandria na kuchoma mengine ilibaki
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    41 KB · Views: 204
Ebu cheki baadhi ya michoro hiyo. Je sisi watu weusi ni sahihi kuitwa tulikuwa hatujui kusoma na kuandika?

View attachment 143322View attachment 143319View attachment 143320View attachment 143321
Angalia picha ya tatu kuna helicopta ya kisasa na ya egyptian wanajf tuambizane mzungu alituharibu tuamke kizazi hiki siri yetu ilichukuliwa na wazungu leo wanajifanya ndio walioleta ustaarabu. Look very clossely to this pictures you will know how scientific achievement of black people reached its peak in ancient Egypt.

Hapo juu nilitaka watu waelewe kuwa waafrika tulikuwa mbali sana katika sayansi ila wagiriki waliiba vitabu vingi sana kutoka maktaba ya misri ya wakati ule hasa chuo kikuu cha Alexandria na kuchoma mengine ilibaki

African highest technological achievement of all time in ancient Egypt.
 
Kwa historian tunajua na kukubaliana kwamba by the 15th century tulikuwa ama sawa au tulizidiana kidogo sana. Kwa upande wa shule vinatajwa vyuo kama al-ahaz university, timbukti university na vingine vingi.
 
We ni proponent wa ancient alien theory ?
 
We ni proponent wa ancient alien theory ?

what do you mean by proponent of ancient alien theory? while our history that's black history is denied all over the world as if we have not conributed to the world history. And the truth is that mzungu mpaka karne ya kwanza expecially britain they dont know how to write and reads do you know that?
 
what do you mean by proponent of ancient alien theory? while our history that's black history is denied all over the world as if we have not conributed to the world history. And the truth is that mzungu mpaka karne ya kwanza expecially britain they dont know how to write and reads do you know that?

Then how do you explain an Apache helicopter in ancient egypt? what does it mean?

Were the Egyptians truly that smart? Inawezekana vipi wanatengeneza a perfect aerodynamic helicopter made of metal using stone tools?Does it make any sense?
 
Then how do you explain an Apache helicopter in ancient egypt? what does it mean?

Were the Egyptians truly that smart? Inawezekana vipi wanatengeneza a perfect aerodynamic helicopter made of metal using stone tools?Does it make any sense?

If you dont believe this then how comes they build a complicated piramid, they correctly analysed that a day have 24 hours and a year have 365 na robo days, they mumyfied a died body to stay for thousand of years without infected with bacterial. This things were discovered at 21 century and Europeans didn't that it was done by black people. they say it is mystery coz they have no that technology till now

they were very smart than any race on earth followed by Chinese. The first surgery were done in Ancient Egypt and no doubt on it (unesco report 1970s) Africa have more than 200 script and this is fact.
 
The hard truth is.. mpaka leo hawajui pyramids zilijengwaje.. kuna theories nyingi lakini non fits the truth.

remember according to ancient egyptian texts, it took roughiy 22 years to build the pyramids..

but until today. With all sophsticated technology we have.. its very hard to build a monument like a pyramid with all its precision and symetries in 20 years.
 
The hard truth is.. mpaka leo hawajui pyramids zilijengwaje.. kuna theories nyingi lakini non fits the truth.

remember according to ancient egyptian texts, it took roughiy 22 years to build the pyramids..

but until today. With all sophsticated technology we have.. its very hard to build a monument like a pyramid with all its precision and symetries in 20 years.

African are very inteligent people racism kill us, our thinking, they take out of the continent smart brain those who refused they killed them they humiliated us all records concerning black people are kept as top secret its our duty to talk this in open space and European must tell us.
 
what do you mean by proponent of ancient alien theory? while our history that's black history is denied all over the world as if we have not conributed to the world history. And the truth is that mzungu mpaka karne ya kwanza expecially britain they dont know how to write and reads do you know that?

Mkuu pale Kiingereza kinapokuwa shida Kiswahili huwa ni suluhisho bora zaidi.
 
Aaah!! Tutabaki kujifariji kila siku mpaka dunia inafikia ukomo wake! Hatuna budi afrika kuamka na kuendea mbele siku zote wanadai et historiA inajirudia kama tulikuwa hivyo basi hatuna budi kujisahisha ni wapi tulipotoka waafrika!
 
Back
Top Bottom