Je unajua kinachompata mwanao kwenye School Bus?

Inasikitisha hakuna mtoto wa kike wala kiume hatari ziko pale pale daa dunia uwanja wa fujo sijui tunakwenda wapi jamani!!inabidi tutafute suluhisho kuhusiana na hao nabazazi wote wa mitaani na hata wa skuli bus
 
ebwanaee! nijuze zaidi maana mtoto wangu kila siku anafuatwa na gari na hao ma anko yuko nusery ila nikielewa zaidi bora nitafute mkweche wangu nimpeleke school
 
imewahi kutokea ktk school bus ya st marys tabata!katoto mpaka mimba.cha muhimu kuwe na dada wa shule anayekuwepo kwenye route!si kuwaacha kina uncle wenyewe
 
Angalau kuna skuli moja maeneo ya mbezi bichi, skuli basi yao inakaa na mwl mmoja wa kike mwanzo mwisho, na ada yao nafuu sana, 1.2m kwa mwaka pamoja na usafiri. Kwa maelezo zaidi ni-PM, icje kuwa natangaza biashara bure!

mamod hawachelewi kukudai air tym!!lol
 
Angalau kuna skuli moja maeneo ya mbezi bichi, skuli basi yao inakaa na mwl mmoja wa kike mwanzo mwisho, na ada yao nafuu sana, 1.2m kwa mwaka pamoja na usafiri. Kwa maelezo zaidi ni-PM, icje kuwa natangaza biashara bure!

KUFA KUFAANA.!
Dah bora iyo kidogo inatia matumaini ila ikitokea nikajua kama kuna bazaz kamfanyia hivyo binti yangu aisee sijui atafute pori gani manake nitamsudan kama sio kumsomali vibaya baya.!
 
hatari tupu. Kuna mmoja alikamatwa ana kalawiti katoto kwny skulbas, kipigo alichokipata ni big soo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…