CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
asante kwa kutukumbusha ni kitu muhimu kuweza kulishika soko. Nina swali, kuna mtu anajua wapi chanjo ya Mareks inapatikana?
asante kwa kutukumbusha ni kitu muhimu kuweza kulishika soko. Nina swali, kuna mtu anajua wapi chanjo ya Mareks inapatikana?
asante kwa kutukumbusha ni kitu muhimu kuweza kulishika soko. Nina swali, kuna mtu anajua wapi chanjo ya Mareks inapatikana?
Za siku mamy! Mareks waweza pata pale pamba house, sikumbuki ghorofa ya ngapi ila ukifika pale waweza ulizia office zinazoshughulika na dawa za mifugo.
Mim huwa nachukua Nairobi Kenya kwa kweli sijui kwa Bongo na kwa sabababu Marek ni ghari sana mnaweza organise hata watatu mkachukua kwa sababu ile chanjo ni kwa vifaranga 1000 na kama unatotolesha chini ya vifaranga 300 basi si razima kuwapa Marek, na marek haina hatari kama olivyo kider.
Na kuna OTC 5 jaribu kuuliza huko inaweza tumika badala ya Chanjo ya Marek.
nashukuru sana Chasha kwa maelezo kumbe nikitumia OTC plus pia ni vizuri pia basi nitawaelekeza. Binafsi huwa natumia otc sasa hawa wengine anataka afuge kienyeji bila chanjo wala nini. All the best, siku nikipanga kuja Arusha nitakutafuta nijifunze vingi uko Nairobi bado kidogo.