Je, unajua Mtu anaweza kushtaki kutokana na usumbufu

Je, unajua Mtu anaweza kushtaki kutokana na usumbufu

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
0001-15393222618_20210111_142213_0000.png


Mtu anaweza kwenda Mahakamani na Kumshitaki mtu mwingine ambaye anamsababishia usumbufu katika Eneo lake la Makazi au la Kazi.

Usumbufu huo unaweza kuwa Kelele, Harufu, takataka, au aina nyingine yoyote ya usumbufu itakayomfanya mtu asiweze kufurahia eneo lake.

Ili mtu aweze kufanikiwa Katika Kumshitaki mtu mwingine kwa Usumbufu lazima aweze kuthibitisha vitu viwili:-

1. Uwepo wa usumbufu uliokuwa kinyume na sheria au usiokuwa na sababu za msingi.

2. Kupata Hasara kutokana na Usumbufu uliofanywa.
 
Upvote 2
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom