Je, unajua sauti inayotokea unapobinya maungio (joints/knuckes) ya vidole hasa vya mikono haitokani na misuguano ya mifupa?

Je, unajua sauti inayotokea unapobinya maungio (joints/knuckes) ya vidole hasa vya mikono haitokani na misuguano ya mifupa?

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
Habari za Usubuhi!

Kwa wale tuliozoea tukiamka au tukiwa tunajiandaa kubeba kitu kizito au tunaojiandaa na mazoezi au tuliozoea kubinya tu joint/knuckles za mikono yetu na Tunafurahi au tunapenda ile sauti inayolia 'Ta' 'Ta' na wengi huamini Kwamba Sauti ile inatokana na msuguano wa mifupa Baina ya mikono Lakini si hivyo.


images - 2023-10-30T084056.724.jpeg

Sasa nini hutokea?

Nitrogen, oxygen, na carbon dioxide Ndiyo gesi zilizopo kwa wingi kwenye Synovial fluid (labricant fluid iliyo kati kati ya Joint inayopunguza friction between bones) pressure iliyo ndani ya joint capsule hubadilika pale joint inapokuwa stretched beyond its normal range of motion, na hu'create' vacuum na kutengeneza bubble kutokana na Gesi kuwa dissolved kwenye fluid hiyo na bubles hizo huburst na kutengeneza sauti.


images - 2023-10-30T083914.248.jpeg

Sasa kwenye issue ya Knuckles, synavial hutanuka 'kuexpand' huku ikifnya Gesi zilizopo kati yake Kama Nitrogen kutengeneza Nitrogen bubbles ambazo baada ya kuburst ndio hutengeneza PoP Up sound ambayo huitwa Crepitus Joint sound Au crepitus ambayo ndio huwa tunaisikia.

images - 2023-10-30T084011.838.jpeg

hata hivyo Husaidia kurelax nerves zilizo karibu hivyo kuongeza Muscles flexibility na kuwezesha Vidole kupata nguvu mpya.

Video jama akibinya vidole..

 
Shukrani kwa darsa.

Swali- mimi kidole changu kimoja kiha uwezo wa kuliza koda zaidi ya 50 simultaneously, je ni abnormal ama kawaida tu?
 
Shukrani kwa darsa.

Swali- mimi kidole changu kimoja kiha uwezo wa kuliza koda zaidi ya 50 simultaneously,je ni abnormal ama kawaida tu?!!
Ki kawaida Mtu Mzima huweza kucrack knuckles zilizokwisha kulia Kwa kila Baada ya dakika 15 Mpaka 20 au zaidi ya hapo...

Hii hutokana na Synavial fluid kuruhusu Tena Gas ziweze kujiform kabla ya kutengeeneza Bubbles nyingine..
Kama nilivyosema mwanzo..

Ukibinya knuckles una stretch joint capsule, ambayo ndo husababisha gas bubbles zi 'collapse'. Na hiyo ndo hutengeneza sauti au kama ulivyosema kuliza 'Koda'

Uwezo wa kuliza "Koda" kama ulivyosema Simultaneously kwako huenda unatokana na Vitu vifuatavyo..
  • Uwepo wa Gas nyingi (More Gases) kwenye synavial fluid
  • Temperature ya synavial fluid
  • Amount ya Movement ya Matumizi ya huo mkono
  • Kiasi Pressure ndani ya Synavial ambacho kinatokana na force ya ukandamizaji wa Kidole au joint.
Japo cracking knuckles haina madhara, Hata hivyo Haishauriwi kuliza 'koda' (kucrack) mara nyingi hivyo, kama ulivyosema zaidi ya mara 50 au mara nyingi kiasi hicho kwa sababu huenda ukasababisha Joints ziwe weaks na unaweza kuifanya iwe vyepesi kupata injury..
 
Zipi faida na hasara za kufanya hivyo
Faida nimesema hapo juu kuwa "Husaidia kurelax nerves zilizo karibu hivyo kuongeza Muscles flexibility na kuwezesha Vidole kupata nguvu mpya..."

Hata hivyo hasara pia zipo kama nilivyoandika hapo juu pia
"Haishauriwi kuliza 'koda' (kucrack) mara nyingi hivyo, kama ulivyosema zaidi ya mara 50 au mara nyingi kiasi hicho kwa sababu huenda ukasababisha Joints ziwe weaks na unaweza kuifanya iwe vyepesi kupata injury.."
 
Mie ni mpenzi wa kugosha vidole, naweza kugosha mara nyingi ndani ya mida mfupi, kuna vidole naweza virudia hata mara 3,3.

Na magotini je.. kuna siku ilikuwa uwanjani, wakati nainuka goti likalia koo(mwanangu akaniambia punguza kushona) 😂

Je ni kweli, ukiwa mshonaji sana maji maji ya kwenye magoti yanaisha(wenyewe wanaita uloto) 😂🤣
 
Habari za Usubuhi!

Kwa wale tuliozoea tukiamka au tukiwa tunajiandaa kubeba kitu kizito au tunaojiandaa na mazoezi au tuliozoea kubinya tu joint/knuckles za mikono yetu na Tunafurahi au tunapenda ile sauti inayolia 'Ta' 'Ta' na wengi huamini Kwamba Sauti ile inatokana na msuguano wa mifupa Baina ya mikono Lakini si hivyo.



Sasa nini hutokea?

Nitrogen, oxygen, na carbon dioxide Ndiyo gesi zilizopo kwa wingi kwenye Synovial fluid (labricant fluid iliyo kati kati ya Joint inayopunguza friction between bones) pressure iliyo ndani ya joint capsule hubadilika pale joint inapokuwa stretched beyond its normal range of motion, na hu'create' vacuum na kutengeneza bubble kutokana na Gesi kuwa dissolved kwenye fluid hiyo na bubles hizo huburst na kutengeneza sauti.



Sasa kwenye issue ya Knuckles, synavial hutanuka 'kuexpand' huku ikifnya Gesi zilizopo kati yake Kama Nitrogen kutengeneza Nitrogen bubbles ambazo baada ya kuburst ndio hutengeneza PoP Up sound ambayo huitwa Crepitus Joint sound Au crepitus ambayo ndio huwa tunaisikia.


hata hivyo Husaidia kurelax nerves zilizo karibu hivyo kuongeza Muscles flexibility na kuwezesha Vidole kupata nguvu mpya.

Video jama akibinya vidole..

Ngoja,ntarudi tena...
 
Mie ni mpenzi wa kugosha vidole, naweza kugosha mara nyingi ndani ya mida mfupi, kuna vidole naweza virudia hata mara 3,3.

Na magotini je.. kuna siku ilikuwa uwanjani, wakati nainuka goti likalia koo(mwanangu akaniambia punguza kushona) 😂

Je ni kweli, ukiwa mshonaji sana maji maji ya kwenye magoti yanaisha(wenyewe wanaita uloto) 😂🤣
😅😅 Hakuna Jibu la moja kwa moja la uhusiano kati ya "Kushona" na kupungukiwa na Synovial fluid..

Japo kuna Study nyingi sana zimefanyika na chache kati ya hizo zimehusisha Mabadiliko ya Synavial fluid na Hormones zinazotokana na sex (Sex Hormones)

Kwa mfano:-
Kuna Study moja iligundulika kuwa asilimia kubwa ya Wanawake wenye osteoarthritis (OA) (Ugonjwa wa Kupata ukakamavu wa joint na maumivu)...

Walikuwa na lower levels ya hyaluronic acid kwenye synovial fluid zao kuliko wanaume wenye (Osteoarthritis) OA.

Hyaluronic acid ni lubricating substance ambayo husaidia kureduce friction na inflammation kwenye joints. Lakini pia hyaluronic huitajika sana katika utengenezwaji wa sparms kwa sababu ya uwepo wa enzymes iitwayo Hyaluronidase enzymes kwenye semen na sperms pia

N kuna study nyingine nyingi kuhusu Rheomatoid Arthritis inahusisha Testesterone na synovial fluid..

Kwa study hizo inaweza ikaleta baadhi ya ukweli kuwa kuna weza kuwepo kwa uhusiano kwani unapofamya sana Sex unaongeza sana Uzalishwaji wa Testestorone ambayo inaweza ikaathiri Synovial fluid..
hata hvyo hakuna uthibitosho wa moja kwa moja nduvu Yangu makaveli10 bado inabaki kuwa ni nadharia inayohitaji kuthibitishwa
 
Habari za Usubuhi!

Kwa wale tuliozoea tukiamka au tukiwa tunajiandaa kubeba kitu kizito au tunaojiandaa na mazoezi au tuliozoea kubinya tu joint/knuckles za mikono yetu na Tunafurahi au tunapenda ile sauti inayolia 'Ta' 'Ta' na wengi huamini Kwamba Sauti ile inatokana na msuguano wa mifupa Baina ya mikono Lakini si hivyo.



Sasa nini hutokea?

Nitrogen, oxygen, na carbon dioxide Ndiyo gesi zilizopo kwa wingi kwenye Synovial fluid (labricant fluid iliyo kati kati ya Joint inayopunguza friction between bones) pressure iliyo ndani ya joint capsule hubadilika pale joint inapokuwa stretched beyond its normal range of motion, na hu'create' vacuum na kutengeneza bubble kutokana na Gesi kuwa dissolved kwenye fluid hiyo na bubles hizo huburst na kutengeneza sauti.



Sasa kwenye issue ya Knuckles, synavial hutanuka 'kuexpand' huku ikifnya Gesi zilizopo kati yake Kama Nitrogen kutengeneza Nitrogen bubbles ambazo baada ya kuburst ndio hutengeneza PoP Up sound ambayo huitwa Crepitus Joint sound Au crepitus ambayo ndio huwa tunaisikia.


hata hivyo Husaidia kurelax nerves zilizo karibu hivyo kuongeza Muscles flexibility na kuwezesha Vidole kupata nguvu mpya.

Video jama akibinya vidole..

Asubuhi yote hii daktari umeamkia darasani
Wapeleke waelewe mkuu
 
😅😅 Hakuna Jibu la moja kwa moja la uhusiano kati ya "Kushona" na kupungukiwa na Synovial fluid..

Japo kuna Study nyingi sana zimefanyika na chache kati ya hizo zimehusisha Mabadiliko ya Synavial fluid na Hormones zinazotokana na sex (Sex Hormones)

Kwa mfano:-
Kuna Study moja iligundulika kuwa asilimia kubwa ya Wanawake wenye osteoarthritis (OA) (Ugonjwa wa Kupata ukakamavu wa joint na maumivu)...

Walikuwa na lower levels ya hyaluronic acid kwenye synovial fluid zao kuliko wanaume wenye (Osteoarthritis) OA.

Hyaluronic acid ni lubricating substance ambayo husaidia kureduce friction na inflammation kwenye joints. Lakini pia hyaluronic huitajika sana katika utengenezwaji wa sparms kwa sababu ya uwepo wa enzymes iitwayo Hyaluronidase enzymes kwenye semen na sperms pia

N kuna study nyingine nyingi kuhusu Rheomatoid Arthritis inahusisha Testesterone na synovial fluid..

Kwa study hizo inaweza ikaleta baadhi ya ukweli kuwa kuna weza kuwepo kwa uhusiano kwani unapofamya sana Sex unaongeza sana Uzalishwaji wa Testestorone ambayo inaweza ikaathiri Synovial fluid..
hata hvyo hakuna uthibitosho wa moja kwa moja nduvu Yangu makaveli10 bado inabaki kuwa ni nadharia inayohitaji kuthibitishwa
Shukrani ndugu yangu.
 
Mimi nimezoea kufanya hiyo viungo vyote vya mwili shingo, vidole . Je Ina madhara kwenye shingo?
 
[emoji28][emoji28] Hakuna Jibu la moja kwa moja la uhusiano kati ya "Kushona" na kupungukiwa na Synovial fluid..

Japo kuna Study nyingi sana zimefanyika na chache kati ya hizo zimehusisha Mabadiliko ya Synavial fluid na Hormones zinazotokana na sex (Sex Hormones)

Kwa mfano:-
Kuna Study moja iligundulika kuwa asilimia kubwa ya Wanawake wenye osteoarthritis (OA) (Ugonjwa wa Kupata ukakamavu wa joint na maumivu)...

Walikuwa na lower levels ya hyaluronic acid kwenye synovial fluid zao kuliko wanaume wenye (Osteoarthritis) OA.

Hyaluronic acid ni lubricating substance ambayo husaidia kureduce friction na inflammation kwenye joints. Lakini pia hyaluronic huitajika sana katika utengenezwaji wa sparms kwa sababu ya uwepo wa enzymes iitwayo Hyaluronidase enzymes kwenye semen na sperms pia

N kuna study nyingine nyingi kuhusu Rheomatoid Arthritis inahusisha Testesterone na synovial fluid..

Kwa study hizo inaweza ikaleta baadhi ya ukweli kuwa kuna weza kuwepo kwa uhusiano kwani unapofamya sana Sex unaongeza sana Uzalishwaji wa Testestorone ambayo inaweza ikaathiri Synovial fluid..
hata hvyo hakuna uthibitosho wa moja kwa moja nduvu Yangu makaveli10 bado inabaki kuwa ni nadharia inayohitaji kuthibitishwa
Ile kanuni ya "too much is harmful" haihusiani kabisa na jinsi uelezeavyo hapa kuwa kadri Me anavyosex mara kwa mara ndiyo huchochea ukuaji zaidi ya testesterone?

Ke wale wanaodai wakizidisha sana kujamiiana huishiwa ujazo wa mbegu za kiume hadi kujikuta wanatoa povu tu?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ile kanuni ya "too much is harmful" haihusiani kabisa na jinsi uelezeavyo hapa kuwa kadri Me anavyosex mara kwa mara ndiyo huchochea ukuaji zaidi ya testesterone?

Ke wale wanaodai wakizidisha sana kujamiiana huishiwa ujazo wa mbegu za kiume hadi kujikuta wanatoa povu tu?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ok Mkuu asante kwa swali zuri!

Production of sperm au semen haihusiani moja kwa moja na Testosterone...

Testosterone ni hormone ya kiume ambayo kazi zake zimelenga sehemu hizo ulizotaja yaani male reproductive health sawa ila kwa malengo na kazi tofauti

Ambazo zinahusisha development of sexual characteristics lakini pia regulation of sex drive (libido/Nyege)

Hata hivyo kama nilivyosema mwanzo testosterone Peke yake haiwezi ku determine semen production....

Lakini Utengenezwaji wa Mbegu za kiume (Spermatogenesis) huusisha Hormones mbili ambazo ni FSH (Follicle stimulating hormones) na LH (Lutenizing hormones)...

Na utengenezwaji wa semen huusisha components nyingi baadhi ni kama Spermatocytes (Sperm) ,seminal fluid ,baadhi ya nutrients na components nyingine....

LH ndo husababisha kutokea kwa testosterome kwa kustimulates Leydig cells to produce testosterone.

Hiyo inamaanisha baada ya kutengeneza Sperm ya kutosha do huinduce production ya Testosterone ili libido/Nyege iongezeke na semen itolewe kwa ajili ya kufanya uzalishaji mwingine...

Sasa nataka uimagime kwa hayo maelezo marefu ya scenario. Hapo juu

Imagine umefanya sana, maana yake utapoteza Sana mbegu hivyo itaongeza sana production kwa kustimulate thalamus kufanya regulation ya mbegu hence utastimulate ledig cell sana ili ziweze kutengeneza Testosterone sana...

Wakati huwa bado unaendelea kufanya Sana hivyo hiyo scenario itaendelea sana kufanyika kwa hiyo kuna Sperm ambazo bado hazijawa perfect matured zitatoka...

Hapo ndo husababisha Low sperm counts with Normal or high testosterone value

NB : KUNA FACTORS MUST VE CONSIDERD KWENYE HIZO SCENARION KAMA UGONJWA,UMRI NA CHANGAMOTO ZINGINE...

nakaribisha kama una swali la nyongeza
 
Doctor nina swali,

Majuzi kati nilipata ajali mkono ukavunjika na hapa kwenye joint kiwiko palipinda kabisa ambapo hospital waliunyoosha mkono ukarudi kawaida.

kuhusu sehemu niliovunjika waliniwekea p.o.p ambalo nilikaa nalo baadae wakaja kunitoa.

Mkono bado haujanyooka daktari kasema niendelee ufanyia mazoez taratbu utakuja kunyooka kabisa.

lakini muda unazidi kwenda changes naziona kwa mbali sana je Huu mkono utakuja kunyooka kabisaa ukawa kama huu mwingine?

huwa inachukua Muda gani mpaka mkono kurudi katka hali yake ya kawaida kwa mgonjwa alievunjika??
 
Je Mimi ninaeliza viungo vyote vy amwili kuanzia vidolevya mikono na miguu, magoti, viwiko shingo,mgongo,taya,mabega unasemaje?
 
Back
Top Bottom