Reality of heaven
Senior Member
- Nov 2, 2022
- 108
- 353
Leo nizungumzie vitu hivi viwili vinavyowachanganya watu, "DINI" na "WOKOVU, wengi hawajui utofauti, lakini huu ndo utofauti wake:
1: Dini imeletwa na wanadamu kwa lengo la kumkaribia Mungu lakini sio kufika kwake, wakati wokovu umeletwa na Yesu ili kuwafikisha mbinguni.
2: Dini haiondoi dhambi, lakini wokovu unaondoa dhambi.
3: Dini inatetewa na wanadamu wakati wokovu unatetewa na Bwana Yesu.
4: Kila mmoja ana dini yake, lakini sio kila mmoja aliye na wokovu.
5: Dini mtu anaweza kuipata kwa njia ya kurithi wakati wokovu unapatikana kwa njia ya kumwamini Yesu Kristo.
6: Dini huongozwa kwa taratibu za watu,na miongozo yao, wakati aliye na wokovu anaongozwa na Neno la Mungu chini ya uongozi wa Roho mtakatifu.
6: Bila dini utamuona Mungu, lakini bila wokovu huwezi kumuona Mungu.
7: Walio wa Mungu hawana dini, wakati kwenye swala la wokovu lazima uwe nao.
8: Mtu mwenye dini, ni mzinzi, ni mlevi, mla rushwa, mfisadi, mwasherati, muongo, mwizi, muuaji, mvuta sigara, msengenyaji, nk! Lakini aliye na wokovu hujilinda na vyitu hivyo, wala vyitu hivyo havina nafasi katika maisha yake!
FAIDA ZA WOKOVU
1: Unakuwa mtoto wa Mungu kwa njia Bwana Yesu
2: Unaoshwa dhambi zako zote
3: Unakuwa mtakatifu mwili na roho
4: Hutupwi jehannum ya moto, baada ya kifo
5: Huwezi kusumbuliwa na wachawi, waganga nk, unakuwa chin
1: Dini imeletwa na wanadamu kwa lengo la kumkaribia Mungu lakini sio kufika kwake, wakati wokovu umeletwa na Yesu ili kuwafikisha mbinguni.
2: Dini haiondoi dhambi, lakini wokovu unaondoa dhambi.
3: Dini inatetewa na wanadamu wakati wokovu unatetewa na Bwana Yesu.
4: Kila mmoja ana dini yake, lakini sio kila mmoja aliye na wokovu.
5: Dini mtu anaweza kuipata kwa njia ya kurithi wakati wokovu unapatikana kwa njia ya kumwamini Yesu Kristo.
6: Dini huongozwa kwa taratibu za watu,na miongozo yao, wakati aliye na wokovu anaongozwa na Neno la Mungu chini ya uongozi wa Roho mtakatifu.
6: Bila dini utamuona Mungu, lakini bila wokovu huwezi kumuona Mungu.
7: Walio wa Mungu hawana dini, wakati kwenye swala la wokovu lazima uwe nao.
8: Mtu mwenye dini, ni mzinzi, ni mlevi, mla rushwa, mfisadi, mwasherati, muongo, mwizi, muuaji, mvuta sigara, msengenyaji, nk! Lakini aliye na wokovu hujilinda na vyitu hivyo, wala vyitu hivyo havina nafasi katika maisha yake!
FAIDA ZA WOKOVU
1: Unakuwa mtoto wa Mungu kwa njia Bwana Yesu
2: Unaoshwa dhambi zako zote
3: Unakuwa mtakatifu mwili na roho
4: Hutupwi jehannum ya moto, baada ya kifo
5: Huwezi kusumbuliwa na wachawi, waganga nk, unakuwa chin