Je unakifahamu Kituo cha kimataifa cha anga(international space station)

Je unakifahamu Kituo cha kimataifa cha anga(international space station)

NAKEMBETWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2012
Posts
3,517
Reaction score
3,135
wakuu salamu kwenu. jana nilikuwa naangalia BBC swahili star tv, kuna habari niliisikia kuhusu kituo cha anga ambacho kipo angani! nmejiulza maswali mengi kuhusu kituo hiki cha anga za juu, je kilijengwa kwa namna gan huko angan? je kina utofaut gan na satelite? walikuwa wanapelekaje vifaa na mitambo ya kujenga kituo? nina maswal meng sana wadau, karibun kwa wanaojua tafadhali tufumbuana macho!
 
  • Thanks
Reactions: Paw
wakuu salamu kwenu. jana nilikuwa naangalia BBC swahili star tv, kuna habari niliisikia kuhusu kituo cha anga ambacho kipo angani! nmejiulza maswali mengi kuhusu kituo hiki cha anga za juu, je kilijengwa kwa namna gan huko angan? je kina utofaut gan na satelite? walikuwa wanapelekaje vifaa na mitambo ya kujenga kituo? nina maswal meng sana wadau, karibun kwa wanaojua tafadhali tufumbuana macho!

In red: sateliti ni kifaa chombo maalum kinachoizunguka dunia,kinaweza kua ni cha asili au cha kutengenezwa na binadam,mfano mwezi ni sateliti ya asili inayoizunguka dunia. International space station au ISS ni satelite inayoizunguka dania ila tofauti yake na sateliti ya kawaida ni kwamba ISS ni kubwa kuliko sateliti ya kawaida na watu wanaweza kuishi humo.

Iss inatoa fursa ya makazi ya binadamu angani. Iss inaweza kuonekana kwa macho ya kawaida kama taa inayong'aa sana angani usiku au alfajiri. mwenyewe nimewahi kuiona mara nyingi.

Kituo hiki kilijengwa huko angani kwenye mhimili wa dunia ambapo nguvu ya mvutano ni 0,kwa hiyo kinaelea angani. ujenzi wake ulianza mwaka 1998,historia yake ya ujenzi ni kubwa kidogo. angalia wikipedia na mitandao mingine utapata ufahamu zaidi. nikitulia ntendelea kidogo
 
In red: sateliti ni kifaa chombo maalum kinachoizunguka dunia,kinaweza kua ni cha asili au cha kutengenezwa na binadam,mfano mwezi ni sateliti ya asili inayoizunguka dunia. International space station au ISS ni satelite inayoizunguka dania ila tofauti yake na sateliti ya kawaida ni kwamba ISS ni kubwa kuliko sateliti ya kawaida na watu wanaweza kuishi humo.

Iss inatoa fursa ya makazi ya binadamu angani. Iss inaweza kuonekana kwa macho ya kawaida kama taa inayong'aa sana angani usiku au alfajiri. mwenyewe nimewahi kuiona mara nyingi.

Kituo hiki kilijengwa huko angani kwenye mhimili wa dunia ambapo nguvu ya mvutano ni 0,kwa hiyo kinaelea angani. ujenzi wake ulianza mwaka 1998,historia yake ya ujenzi ni kubwa kidogo. angalia wikipedia na mitandao mingine utapata ufahamu zaidi. nikitulia ntendelea kidogo

Mkuu Kichwa Ndio Mtu nashukuru sana kwa maelezo yako mujarabu, nitashukuru tena utakopoendelea kutuhabarisha zaidi
 
Back
Top Bottom