Je, unakumbuka lolote kuhusu hizo fimbo wakati huo unasoma?

Je, unakumbuka lolote kuhusu hizo fimbo wakati huo unasoma?

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Wakati tunasoma mzee kuna hiyo siku unajikuta tu Unaenda zako darasa jingine kupiga story mara ghafra mwalimu anaingia unasikia tu anasema laleni Chini kwa nini mnapiga kelele,

Aiseeee huwa zinaumaga sana zile fimbo sidhani kama kuna za kuzizidi.

Je, unakumbuka lolote kuhusu hizo fimbo wakati huo unasoma?


Cc Zero IQ
 
😂😂😂 Dah nakumbuka Kuna siku nilikuwa na wadau wawili ambao tuligoma kupigwa staff tukakimbilia kwny kichak karbu na shule.
Sas kulikua na mzinga wa nyuki mkubwa tukapiga mawe ukashuka Kam ulivyo wale nyuki wakawa na hasira wakavamia madaras na staff bwanaaa weee ni shidaaaa mwl wa zamu katoka tu nje manundu tayr akala kona spidi kali akaanguka chin suruali ikachanik walimu wa kike vilio atar.
Mda huo mkuu yupo ofisini kafunga vioo anapiga simu na kutoa matamko tu nakumbuka shule ilipagawa sabab ya wale nyuki 892k waliovamia sababu ya sisi vibaka tuliojificha karbu na kichaka ch shule.
Kesho yake assemble ikageuka kuwa jehanamu tulipigwa adi na mawe yan nilisikia mwl mlokole wa kike akisem was**ng nyie mlitaka tufeeee mamaee nyie
 
Hahah!! Sema kinkinachoniumaga zaidi licha ya fimbo zote zile lkn still bado performance ya matokeo kwenye shule zetu bado iko poor...
 
😂😂😂 Dah nakumbuka Kuna siku nilikuwa na wadau wawili ambao tuligoma kupigwa staff tukakimbilia kwny kichak karbu na shule.
Sas kulikua na mzinga wa nyuki mkubwa tukapiga mawe ukashuka Kam ulivyo wale nyuki wakawa na hasira wakavamia madaras na staff bwanaaa weee ni shidaaaa mwl wa zamu katoka tu nje manundu tayr akala kona spidi kali akaanguka chin suruali ikachanik walimu wa kike vilio atar.
Mda huo mkuu yupo ofisini kafunga vioo anapiga simu na kutoa matamko tu nakumbuka shule ilipagawa sabab ya wale nyuki 892k waliovamia sababu ya sisi vibaka tuliojificha karbu na kichaka ch shule.
Kesho yake assemble ikageuka kuwa jehanamu tulipigwa adi na mawe yan nilisikia mwl mlokole wa kike akisem was**ng nyie mlitaka tufeeee mamaee nyie
🤣🤣🤣 ila mliwakomesha.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] Dah nakumbuka Kuna siku nilikuwa na wadau wawili ambao tuligoma kupigwa staff tukakimbilia kwny kichak karbu na shule.
Sas kulikua na mzinga wa nyuki mkubwa tukapiga mawe ukashuka Kam ulivyo wale nyuki wakawa na hasira wakavamia madaras na staff bwanaaa weee ni shidaaaa mwl wa zamu katoka tu nje manundu tayr akala kona spidi kali akaanguka chin suruali ikachanik walimu wa kike vilio atar.
Mda huo mkuu yupo ofisini kafunga vioo anapiga simu na kutoa matamko tu nakumbuka shule ilipagawa sabab ya wale nyuki 892k waliovamia sababu ya sisi vibaka tuliojificha karbu na kichaka ch shule.
Kesho yake assemble ikageuka kuwa jehanamu tulipigwa adi na mawe yan nilisikia mwl mlokole wa kike akisem was**ng nyie mlitaka tufeeee mamaee nyie
 
Mi nilipigwa kipigo Cha kuua mbwa
Baada ya kuuza mahindi ya shule niliyopewa nisage kwenye mashine ya Kijiji Cha pili.

Kuna ma teacher Ni wauaji.
 
Back
Top Bottom