Je unalijua linalomsubiri Rais Museveni Mkutano wa Obama Marekani?

Je unalijua linalomsubiri Rais Museveni Mkutano wa Obama Marekani?

Ambiente Guru

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
2,605
Reaction score
1,085
Duru zinasema Raisi Yoweri Mseveni wa Uganda atakutana uso kwa uso na maandamano ya Wanaharakati watetezi wa ushoga Marekani.

Ni wakati atakapotua Washington DC kuhudhuria mkutano wa Maraisi 40 au zaidi toka Afrika.

Ni Mkutano huu ulioandaliwa na Raisi Obama utajaribu kuengua nchi za Kiafrika toka mnaso wa China kiuchumi. Inaelekea China inafaidika sana raslimali na biashara za Afrika


Chanzo: BBC 04 August 20014
 
ulikuwa na haraka ya kuandika hii habari.na hiyo source yako mbona kama iko wide sana.kwa hiyo mtu humu akiandika habari ya tukio fulani lilitokea mahali ndani ya nchi na chanzo chake akasema ni KITAIFA,utamwelewa kweli!bora usingeweka kabisa.
Mkutano wenyewe unafanyika lini mkuu?
 
ulikuwa na haraka ya kuandika hii habari.na hiyo source yako mbona kama iko wide sana.kwa hiyo mtu humu akiandika habari ya tukio fulani lilitokea mahali ndani ya nchi na chanzo chake akasema ni KITAIFA,utamwelewa kweli!bora usingeweka kabisa.
Mkutano wenyewe unafanyika lini mkuu?

Nimekuelewa Mkuu. Source nimeshakuwekea na specific
 
Jameni Mahakama ilitupilia mbali hio sheria tokana na wabunge kutokuweza kutimiza quaram walipokuwa wanaipitisha(ilihitaji kuwa 125 kayi ya 375) so sio m7 ila ni wabunge waliopitisha sheria kinyume na sheria
Sheria ni msumeno unakula mbele na nyuma
 
Back
Top Bottom