nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Gerge v
Ndiye mtawala wa kwanza wa Tanganyika,pia alijulikana kwa jina la George Frederick Ernest Albert.
George ni mjukuu wa malkia Victoria (mwenye ziwa lake kule kwa kina ngosha na koku).
Mweshimiwa huyu pia alikuwa ni mpiganaji katika jeshi la wana maji la Uingereza.
alitawala kuaznia mwaka 1919-1936,hii ni baada ya kumg'oa mjerumani ambaye yeye alikuwa anatawala afrika mashariki yote ikiwemo Burundi na Rwanda iliyojulikana kwa jina la Deutsch ostafrika
Ndiye mtawala wa kwanza wa Tanganyika,pia alijulikana kwa jina la George Frederick Ernest Albert.
George ni mjukuu wa malkia Victoria (mwenye ziwa lake kule kwa kina ngosha na koku).
Mweshimiwa huyu pia alikuwa ni mpiganaji katika jeshi la wana maji la Uingereza.
alitawala kuaznia mwaka 1919-1936,hii ni baada ya kumg'oa mjerumani ambaye yeye alikuwa anatawala afrika mashariki yote ikiwemo Burundi na Rwanda iliyojulikana kwa jina la Deutsch ostafrika