Je unamjua DR Tulia Ackson, Mwanasheria msomi kama Wanasheria wanavyojipalilia?

Je unamjua DR Tulia Ackson, Mwanasheria msomi kama Wanasheria wanavyojipalilia?

Joined
Nov 6, 2016
Posts
77
Reaction score
271
JE UNAMJUA DR TULIA ACKSON, MWANASHERIA MSOMI KAMA WANASHERIA WANAVYOJIPALILIA?

MAKALA HII IMEANDIKWA NA
Comrade Ally Maftah
(PACOME WA MCHONGO)


Dr Tulia amezaliwa tar 23 November 1976 katika Kijiji cha Bulyaga kilichopo Tukuyu, Mbeya. katika mpangilio wa nyota huyu anaangukia kwenye Mshale ( Sagittarius ) na ameakisi nyota hiyo vilivyo, watu wenye nyota hiyo wana uwezo mkubwa kiakili na wanapenda changamoto, huyu ni Tulia.

Tulia amesoma elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Mabonde 1984 - 1990 na kufaulu mitihani yake ya msingi kwa kiwango cha juu na kuchaguliwa kujiunga na shule ya sekondari ya vipaji ya wasichana Loleza iliyopo Mbeya, mwaka 1994 alihitimu na kufaulu kwa kiwango cha juu tena na kuchaguliwa kujiunga na shule ya sekondari ya upili katika shule ya Zanaki, na kufaulu tena na 1998 akajiunga na chuo kikuu cha Dar es Salaam, akichukua shahada ya kwanza ya sheria ambapo alikuwa mwiba mkali darasani, alipomaliza shahada ya kwanza akaunganisha tena shahada ya pili ya sheria na kuhitimu 2003, mwamba huyu alikuwa na kiu ya kali ya elimu mithiri ya simba jike anapokuwa katika windo lake, 2015 akajitupa Chuo kikuu Cape Town kuchukua degree ya tatu yaani degree ya uzamivu na hawa ndio huitwa Doctors, sio kwamba wanachoma watu sindano hapana hii ni heshima ya kuvumilia umande. 2007 tukaanza kumuita Dr Tulia Ackson.

Mwamba huyu alianza ajira akiwa anasoma pale chuo kikuu cha Dar es Salaam akiwa mkufunzi msaidizi, na baadae akawa mkufunzi kamili, alipanda vyeo mbalimbali na kupokea teuzi kutoka kwa Rais Jakaya Kikwete, ufanishi na ujasili wake kazini ulimfanya awe kinara kila alipopachikwa

Mwaka 2015 Dr Jakaya Kikwete alimteua kuwa Naibu Mwanasheria mkuu. na baadae akayeuliwa na Dr John Pombe Magufuli kuwa Mbunge wa bunge la jamuhili ya muungano na kupewa dhamana ya kuwa naibu spika wa bunge katika bunge lililoongozwa na Spika Job Ndugai, na baadae kuwa spika wa bunge baada ya Ndugai kujiuzulu,

Dr Tulia ni mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini akimbwaga mbunge machachali wa chama cha democracia na maendeleo CHADEMA , katika uchaguzi mkuu 2020, kutokana na umahili wake katika kusimamia bunge.

Kumuelezea Dr Tulia inahitaji kalamu isiyoisha wino na karatasi za dhahabu kwa utamu wa hadithi ya maisha yake, huu ni mfano wa mtu mwenye jitihada na uvimilivu akuwa katika utulivu, mwanamke asiyeyumbishwa


CAM STORE - WAUZAJI WA VIFAA VYA KILIMO NA UFUGAJI
0762212623
0785670227
 

Attachments

  • IMG-20240911-WA0026.jpg
    IMG-20240911-WA0026.jpg
    25.3 KB · Views: 6
JE UNAMJUA DR TULIA ACKSON, MWANASHERIA MSOMI KAMA WANASHERIA WANAVYOJIPALILIA?

MAKALA HII IMEANDIKWA NA
Comrade Ally Maftah
(PACOME WA MCHONGO)


Dr Tulia amezaliwa tar 23 November 1976 katika Kijiji cha Bulyaga kilichopo Tukuyu, Mbeya. katika mpangilio wa nyota huyu anaangukia kwenye Mshale ( Sagittarius ) na ameakisi nyota hiyo vilivyo, watu wenye nyota hiyo wana uwezo mkubwa kiakili na wanapenda changamoto, huyu ni Tulia.

Tulia amesoma elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Mabonde 1984 - 1990 na kufaulu mitihani yake ya msingi kwa kiwango cha juu na kuchaguliwa kujiunga na shule ya sekondari ya vipaji ya wasichana Loleza iliyopo Mbeya, mwaka 1994 alihitimu na kufaulu kwa kiwango cha juu tena na kuchaguliwa kujiunga na shule ya sekondari ya upili katika shule ya Zanaki, na kufaulu tena na 1998 akajiunga na chuo kikuu cha Dar es Salaam, akichukua shahada ya kwanza ya sheria ambapo alikuwa mwiba mkali darasani, alipomaliza shahada ya kwanza akaunganisha tena shahada ya pili ya sheria na kuhitimu 2003, mwamba huyu alikuwa na kiu ya kali ya elimu mithiri ya simba jike anapokuwa katika windo lake, 2015 akajitupa Chuo kikuu Cape Town kuchukua degree ya tatu yaani degree ya uzamivu na hawa ndio huitwa Doctors, sio kwamba wanachoma watu sindano hapana hii ni heshima ya kuvumilia umande. 2007 tukaanza kumuita Dr Tulia Ackson.

Mwamba huyu alianza ajira akiwa anasoma pale chuo kikuu cha Dar es Salaam akiwa mkufunzi msaidizi, na baadae akawa mkufunzi kamili, alipanda vyeo mbalimbali na kupokea teuzi kutoka kwa Rais Jakaya Kikwete, ufanishi na ujasili wake kazini ulimfanya awe kinara kila alipopachikwa

Mwaka 2015 Dr Jakaya Kikwete alimteua kuwa Naibu Mwanasheria mkuu. na baadae akayeuliwa na Dr John Pombe Magufuli kuwa Mbunge wa bunge la jamuhili ya muungano na kupewa dhamana ya kuwa naibu spika wa bunge katika bunge lililoongozwa na Spika Job Ndugai, na baadae kuwa spika wa bunge baada ya Ndugai kujiuzulu,

Dr Tulia ni mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini akimbwaga mbunge machachali wa chama cha democracia na maendeleo CHADEMA , katika uchaguzi mkuu 2020, kutokana na umahili wake katika kusimamia bunge.

Kumuelezea Dr Tulia inahitaji kalamu isiyoisha wino na karatasi za dhahabu kwa utamu wa hadithi ya maisha yake, huu ni mfano wa mtu mwenye jitihada na uvimilivu akuwa katika utulivu, mwanamke asiyeyumbishwa


CAM STORE - WAUZAJI WA VIFAA VYA KILIMO NA UFUGAJI
0762212623
0785670227
Vizuri nimejua, ila sijawahi kusikia alichonifanyia mimi zaidi ya kuona akiwa kijinini kwake Rungwe akiruka jeneza ili ashinde ubunge.
Naomba utuletee mambo yenye tija. Ila nawe ujue pamoja na usomi wake shibe ya chakula chake anaipata kutoka kwa asiye msomi ila mjuzi wa kulima, na akigoma yeye na wenzake huyu Tulia wako atakufa njaa, kwa kifupi Post yako haina tija.
 
Wanaume kama wewe ni hasara kwa familia,nzengo,jamii na Taifa kwa ujumla.

saa tisa yote hii unatuletea uharo mtupu.

hiyo elimu yake imewasaidia nini watanzania? Msomi gani mwenye akili timamu awezaye kufanya ujinga unaofanyika bugeni?

Weka wazi kama umekodiwa
 
Wanaume kama wewe ni hasara kwa familia,nzengo,jamii na Taifa kwa ujumla.

saa tisa yote hii unatuletea uharo mtupu.

hiyo elimu yake imewasaidia nini watanzania? Msomi gani mwenye akili timamu awezaye kufanya ujinga unaofanyika bugeni?

Weka wazi kama umekodiwa
Umesema ukweli mchungu, wacha niamke niende kuswali sasa
 
Yes, Tulia ni msomi mzuri wa kwenye makaratasi ila mwenye mchango finyu sana kwa jamii hasa katika mabadiliko ya siasa za Tanzania.

Atakumbukwa sana kama msomi aliyetumika vibaya na mfumo kudumaza na kufubaza demokrasia.

Usomi wa Tulia katika siasa za Tanzania una faida kubwa sana kwa familia yake, ndugu zake wa karibu na tija ndogo sana kwa Taifa hili.
 
Unafahamu kabisa hukupaswa kuleta huu uzi lakini sababu ya 20 mnazopewa kusukuma mada za kijinga ndio ukaona utumie ujinga wako kutuletea huu upuuzi.

Hivinkweli dunia ya leo unaweza kuandika mada ya kipumbavu namna hii ? Information za kila mtu zipo online tena hata ambazo nyingine hauzijui wewe ukaona uje kujaza server humu?

In fact umeamua kuleta mada ili apigwe spana sasa wacha aoge mitusi watu wana hasira nae we unatuletea usomi wake ambao hauna faida kwa watanzania.
 
Huyu ajuza mnafiki mwenye roho mbaya kama sura ake, elimu ake sisi inatusaidia nini? mwanamke wa hovyo kabisa kuwahi kutokea tangu dunia iumbwe
 
Unafahamu kabisa hukupaswa kuleta huu uzi lakini sababu ya 20 mnazopewa kusukuma mada za kijinga ndio ukaona utumie ujinga wako kutuletea huu upuuzi.

Hivinkweli dunia ya leo unaweza kuandika mada ya kipumbavu namna hii ? Information za kila mtu zipo online tena hata ambazo nyingine hauzijui wewe ukaona uje kujaza server humu?

In fact umeamua kuleta mada ili apigwe spana sasa wacha aoge mitusi watu wana hasira nae we unatuletea usomi wake ambao hauna faida kwa watanzania.
Huyu chogo kaweka na no za cm wateja wake wamtafute
 
Yes, Tulia ni msomi mzuri wa kwenye makaratasi ila mwenye mchango finyu sana kwa jamii hasa katika mabadiliko ya siasa za Tanzania.

Atakumbukwa sana kama msomi aliyetumika vibaya na mfumo kudumaza na kufubaza demokrasia.

Usomi wa Tulia katika siasa za Tanzania una faida kubwa sana kwa familia yake, ndugu zake wa karibu na tija ndogo sana kwa Taifa hili.
Hana mchango wowote ni mwanamke wa hovyo kabisa mwenye roho mbaya kama sura ake
 
JE UNAMJUA DR TULIA ACKSON, MWANASHERIA MSOMI KAMA WANASHERIA WANAVYOJIPALILIA?

MAKALA HII IMEANDIKWA NA
Comrade Ally Maftah
(PACOME WA MCHONGO)


Dr Tulia amezaliwa tar 23 November 1976 katika Kijiji cha Bulyaga kilichopo Tukuyu, Mbeya. katika mpangilio wa nyota huyu anaangukia kwenye Mshale ( Sagittarius ) na ameakisi nyota hiyo vilivyo, watu wenye nyota hiyo wana uwezo mkubwa kiakili na wanapenda changamoto, huyu ni Tulia.

Tulia amesoma elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Mabonde 1984 - 1990 na kufaulu mitihani yake ya msingi kwa kiwango cha juu na kuchaguliwa kujiunga na shule ya sekondari ya vipaji ya wasichana Loleza iliyopo Mbeya, mwaka 1994 alihitimu na kufaulu kwa kiwango cha juu tena na kuchaguliwa kujiunga na shule ya sekondari ya upili katika shule ya Zanaki, na kufaulu tena na 1998 akajiunga na chuo kikuu cha Dar es Salaam, akichukua shahada ya kwanza ya sheria ambapo alikuwa mwiba mkali darasani, alipomaliza shahada ya kwanza akaunganisha tena shahada ya pili ya sheria na kuhitimu 2003, mwamba huyu alikuwa na kiu ya kali ya elimu mithiri ya simba jike anapokuwa katika windo lake, 2015 akajitupa Chuo kikuu Cape Town kuchukua degree ya tatu yaani degree ya uzamivu na hawa ndio huitwa Doctors, sio kwamba wanachoma watu sindano hapana hii ni heshima ya kuvumilia umande. 2007 tukaanza kumuita Dr Tulia Ackson.

Mwamba huyu alianza ajira akiwa anasoma pale chuo kikuu cha Dar es Salaam akiwa mkufunzi msaidizi, na baadae akawa mkufunzi kamili, alipanda vyeo mbalimbali na kupokea teuzi kutoka kwa Rais Jakaya Kikwete, ufanishi na ujasili wake kazini ulimfanya awe kinara kila alipopachikwa

Mwaka 2015 Dr Jakaya Kikwete alimteua kuwa Naibu Mwanasheria mkuu. na baadae akayeuliwa na Dr John Pombe Magufuli kuwa Mbunge wa bunge la jamuhili ya muungano na kupewa dhamana ya kuwa naibu spika wa bunge katika bunge lililoongozwa na Spika Job Ndugai, na baadae kuwa spika wa bunge baada ya Ndugai kujiuzulu,

Dr Tulia ni mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini akimbwaga mbunge machachali wa chama cha democracia na maendeleo CHADEMA , katika uchaguzi mkuu 2020, kutokana na umahili wake katika kusimamia bunge.

Kumuelezea Dr Tulia inahitaji kalamu isiyoisha wino na karatasi za dhahabu kwa utamu wa hadithi ya maisha yake, huu ni mfano wa mtu mwenye jitihada na uvimilivu akuwa katika utulivu, mwanamke asiyeyumbishwa


CAM STORE - WAUZAJI WA VIFAA VYA KILIMO NA UFUGAJI
0762212623
0785670227
Albadir naona imeanza kufanya kazi mmeanza kutoka mapangoni wajinga nyie
 
Yes, Tulia ni msomi mzuri wa kwenye makaratasi ila mwenye mchango finyu sana kwa jamii hasa katika mabadiliko ya siasa za Tanzania.

Atakumbukwa sana kama msomi aliyetumika vibaya na mfumo kudumaza na kufubaza demokrasia.

Usomi wa Tulia katika siasa za Tanzania una faida kubwa sana kwa familia yake, ndugu zake wa karibu na tija ndogo sana kwa Taifa hili.
Hakuna hata kidogo ni hovyo sn
 
Back
Top Bottom