Je Unampenda Mama yako? Mwambie Maneno yenye upendo hapa

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,301
Reaction score
8,706
Nakupenda mom, umefanya mengi kwa ajili yangu

ulinibeba tumboni mwako miezi 9

wewe ndio unaejua ukweli wowote kuhusu mimi

wewe hukulala mpaka mimi nilale

wewe hukula mpaka mimi nile

hukuvaa mpaka mimi nivae

ulijinyima ili mimi nipate mama

Mama, Nikifika nyumbani nisipokukuta wewe naona kama vile nyumba haina mtu mama!

watanikimbia wote lakini mama wewe najua hutonikimbia

Najua hauuoni huu uzi mama lakini ni mimi mwanao naonesha upendo wangu kwako

Mungu akubariki na kukutia nguvu siku zote Mama!
 
Never gonna go a day without you.Fills me up just thinking about you.

I'll never go a day without my mama,you will always be the girl in my life.

Mama, mama, you know I love you.Mama, mama, you're the queen of my heart!
 
Dah...bimkubwa haya anayajua kitambo sana......lazima nimshukuru sana kwa zile fimbo...maana bila zile fimbo sijui Leo ingekuwaje[emoji41]
 
Mama nakupenda!!
Hivi nilivyo ni sababu ya juhudi zako!! Kuna kipindi nilikuudhi kwa kujua ama kutokujua naomba unisamehe mama!! Hukuchoka kunilea mpaka leo nimekuwa mtu mzima bado huwezi lala bila kunijulia hali, mamangu natamani niwe kama wewe!! Mungu akupe maisha marefu mama yangu, sitachoka kukupenda, kukuheshimu na kukutunza!!! Mama nakupenda!!!
 
Yaani badala ya kumwambia live, unajisemea tu mtandaoni!!! Mmmviuu[emoji13]
 
I don’t know how you always finds a way,
You were a saviour in the time of need, and
in your time of need you does the deed, the magic of a woman.

I will tell you everything when we meet again. [emoji27]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mama yangu kabla ya ya kusema Chochote kwanza naomba nitume vocha ya elfu 5 Kwa mwanzisha thread 79299392268907
 
Kwa hiyo mama zetu wataingia humu kuyasoma haya?
 
Ain't woman alive could take my mama's place. More appreciate.
 
Navyokupenda mama asingekuoa baba ningekuoa mimi
 
Navyokupenda mama asingekuoa baba ningekuoa mimi
Wewe umetisha sana. Mama kweli unampenda mama yako. Mi mama yangu nitamtembelea weekend hii nikamwambie live. Humu wala hachunguliga
 
Humu hatuwaambii mama zetu,tunaambiana sisi wenyew kwa wenyew
 
Mimi alishaniacha....lakini kaondoka akijua kuwa nampenda kweli.....na ninamkumbuka kila siku...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…