Ukoko unatakiwa uwe umeungua.Fanya mambo yafuatayo ili hali hiyo isitokee tena.
√ kata nywele sehem za siri, kisha chukua maji ya ukoko wa ugali unawie sehem hizo zinazonuka( hakikisha unafanya hivi ukiwa umeoga) fanya Mara mbili kwa wiki 900 itapendeza
√ Tumia maji ya limao kunawia sehemu hizo husaidia kukata harufu
Angalizo:
Epuka kutumia sabuni,manukato ya kubadilisha Mara kwa mara ambapo hupelekea kupoteza harufu halisi ya mwili wako.
Nawasilisha,,,,
Hivi uwa kuna dawa ya chunusi kumbechovya kidole kwenye sabuni ya kuoshea nywele(shampoo) kisha paka kwenye kwapa linalotoa harufu subiri pakauke vaa shati lako kisha nenda misele kakumbatie watu kwa kadri utakavyo weza bila wasiwasi wowote.
medication: kanunue fluconazole kisha piga dozi kwa kadri ya maelekezo ya mtaalamu
harufu ya kwapa
kunuka mdomo
mba wa kichwani
mba wa ngozi
vibarango
chunusi(ambazo sio za kubalehe)
vitabaki histori.
Yeah i know this.Vyovyote , songa ugali kama kawaida loweka sufuria subir mpk uone maji yamebadilik rangi chuja then jisafishe nayo mkuu
Dawa hiyo inauzwa shngap mkuuchovya kidole kwenye sabuni ya kuoshea nywele(shampoo) kisha paka kwenye kwapa linalotoa harufu subiri pakauke vaa shati lako kisha nenda misele kakumbatie watu kwa kadri utakavyo weza bila wasiwasi wowote.
medication: kanunue fluconazole kisha piga dozi kwa kadri ya maelekezo ya mtaalamu
harufu ya kwapa
kunuka mdomo
mba wa kichwani
mba wa ngozi
vibarango
chunusi(ambazo sio za kubalehe)
vitabaki histori.
Ha ha ha ha ha Chris umenivunja mbavu mkuu!Ukoko unatakiwa uwe umeungua.
Kweli mkuu nilishatumia hii, hata siku moja sinuki kwapa mkuu [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ha ha ha ha ha Chris umenivunja mbavu mkuu!