Je, unapaswa kufanya nini wakati soko la Cryptocurrency linapokuwa chini?

Je, unapaswa kufanya nini wakati soko la Cryptocurrency linapokuwa chini?

Mr Fresh

Member
Joined
May 30, 2021
Posts
23
Reaction score
75
Bei za Cryptocurrency zimeshuka katika miezi ya hivi karibuni, na Bitcoin (BTC) ikipoteza zaidi ya 35% tangu tarehe 11 November 2021.

Licha ya kushuka kwa kasi kwa wiki hii, Bitcoin bado iko juu karibu 40% Tangu January 1 mwaka 2021.

Mabadiliko haya hayamainishi kwamba soko liko chini sana kwa wawekezaji wenye malengo ya kushikilia sarafu zao kwa muda mrefu

Ila yanatia hofu sana kwa wawekezaji wenye malengo ya muda mfupi hasa wanapoona thamani ya sarafu zao ikishuka.

Leo nitakufundisha njia sahihi za kulikabili soko la cryptocurrency kipindi likiwa chini;

1- Usiuze Kwa Hofu Sarafu Zako

Hili ni kosa kubwa sana ambalo hupaswi kulifanya,unapouza sarafu zako kipindi soko linapokuwa chini maana yake ni kwamba umekubali hasara, na endapo ikatokea soko likarudi juu ghafla basi utajilaumu sana. Amini tafiti zako ulizozafanya kabla ya kununua sarafu na kuwa mtulivu zaidi.

2. Fanya Utafiti Kujua Kwa Nini Soko Limeshuka

hii itakusaidia kukupa nguvu ya maamuzi zaidi baada ya kujua ni sababu zipi zilizosababisha soko kushuka

3. Ongeza Manunuzi ya Sarafu Zako Kama Bado Una Fedha Ya Ziada

Una nafasi kubwa sana ya kupata faida ya haraka sokoni endapo ukifanya manunuzi kipindi soko la cryptocurrency linapokuwa chini,hivyo usipoteze nafasi ongeza idadi ya sarafu zako kisha subiria matunda ya uwekezaji wako.

4. Fikiria Zaidi Juu Ya Miaka Mitano Hadi Kumi Ijayo

Soko la cryptocurrency bado ni geni sana na haliwezi kupotea au kufutika hivi karibuni, Cryptocurrency zipo na zitaendelea kuwepo miaka yote ijayo na watu wengi zaidi wataendelea kuifahamu cryptocurrency. wanaowekeza hivi sasa ndo watafaidika zaidi miaka ijayo.
 
Bei za Cryptocurrency zimeshuka katika miezi ya hivi karibuni, na Bitcoin (BTC) ikipoteza zaidi ya 35% tangu tarehe 11 November 2021.

Licha ya kushuka kwa kasi kwa wiki hii, Bitcoin bado iko juu karibu 40% Tangu January 1 mwaka 2021.

Mabadiliko haya hayamainishi kwamba soko liko chini sana kwa wawekezaji wenye malengo ya kushikilia sarafu zao kwa muda mrefu

Ila yanatia hofu sana kwa wawekezaji wenye malengo ya muda mfupi hasa wanapoona thamani ya sarafu zao ikishuka.

Leo nitakufundisha njia sahihi za kulikabili soko la cryptocurrency kipindi likiwa chini;

1- Usiuze Kwa Hofu Sarafu Zako

Hili ni kosa kubwa sana ambalo hupaswi kulifanya,unapouza sarafu zako kipindi soko linapokuwa chini maana yake ni kwamba umekubali hasara, na endapo ikatokea soko likarudi juu ghafla basi utajilaumu sana. Amini tafiti zako ulizozafanya kabla ya kununua sarafu na kuwa mtulivu zaidi.

2. Fanya Utafiti Kujua Kwa Nini Soko Limeshuka

hii itakusaidia kukupa nguvu ya maamuzi zaidi baada ya kujua ni sababu zipi zilizosababisha soko kushuka

3. Ongeza Manunuzi ya Sarafu Zako Kama Bado Una Fedha Ya Ziada

Una nafasi kubwa sana ya kupata faida ya haraka sokoni endapo ukifanya manunuzi kipindi soko la cryptocurrency linapokuwa chini,hivyo usipoteze nafasi ongeza idadi ya sarafu zako kisha subiria matunda ya uwekezaji wako.

4. Fikiria Zaidi Juu Ya Miaka Mitano Hadi Kumi Ijayo

Soko la cryptocurrency bado ni geni sana na haliwezi kupotea au kufutika hivi karibuni, Cryptocurrency zipo na zitaendelea kuwepo miaka yote ijayo na watu wengi zaidi wataendelea kuifahamu cryptocurrency. wanaowekeza hivi sasa ndo watafaidika zaidi miaka ijayo.

Imeandaliwa na
Ally Salim Sanja.

Kuendelea kujifunza mengi zaidi juu ya cryptocurrency follow my Twitter account utakuwa unapata daily updates za cryptocurrencies na fursa nyingi zilizomo ndani yake [emoji116][emoji116]


Au nicheki Whatsapp kwa kubonyeza hii link hapa chini In WhatsApp teilen
Thread za kifala Sana hizi! Tapeli
 
Thamani ya Fedha ya nchi flani mfano Uganda shillings ni kiashilio cha ukuaji au kudorora kwa uchumi wa nchi hiyo...hapa tunasikilizia taarifa za Federal Reserve (sijuhi ndiyo benki kuu) kuhusu mfumuko wa bei hapo kesho tujue tunujue au tuuze dola ya Marekani,

Mleta mada hizo cryptocurrency zinabebwa na uchumi gani? Au ile wanasema 'supply and demand" kwenye crypo demand au supply vinatathiminiwa vipi ili uamue kuuza ama ku-hold?

Ushauri wangu: acha kuinvest kwenye hizi "povu" maana muda wote povu linapasuka, scalp, scalp, scalp..! Faida ipo na zinalipa kweli ila kusema "2024" thamani yake itakuwa juu...wewee, utakuja lia nani anajua kuhusu kesho ya "crypto"
 
Dogo unakosea sana sana, umemkosea sana mleta thread. Huuu usela mavi Haukusaidii kitu zaidi ya kudhihirisha ulivyo kilaza na mpuuzi
Ndiyo ni wapuuzi kenge we wa jalalani
 
Onyesha portfolio yako then maongezi yaendelee otherwise you just blaah! Blaah! Blaah!
 
Thamani ya Fedha ya nchi flani mfano Uganda shillings ni kiashilio cha ukuaji au kudorora kwa uchumi wa nchi hiyo...hapa tunasikilizia taarifa za Federal Reserve (sijuhi ndiyo benki kuu) kuhusu mfumuko wa bei hapo kesho tujue tunujue au tuuze dola ya Marekani,

Mleta mada hizo cryptocurrency zinabebwa na uchumi gani? Au ile wanasema 'supply and demand" kwenye crypo demand au supply vinatathiminiwa vipi ili uamue kuuza ama ku-hold?

Ushauri wangu: acha kuinvest kwenye hizi "povu" maana muda wote povu linapasuka, scalp, scalp, scalp..! Faida ipo na zinalipa kweli ila kusema "2024" thamani yake itakuwa juu...wewee, utakuja lia nani anajua kuhusu kesho ya "crypto"
Mkuu haupaswi kuacha kabisa kuwekeza. Bali wekeza kidogo kwa hela yako ya ziada.
 
Back
Top Bottom