Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Uislamu unakupeleka peponi. Peponi unapewa mabikira 72 wenye macho makubwa kama vikombe. Na nguvu za kiume za kugonga mademu elfu moja. Baada ya hapo unaenda kugida bia kwenye mto wa pombe.Neno langu kwake, matendo mema yenye kumpendezesha Mwenyezi Mungu ndio yatakayomuingiza peponi, akiwa katika uisilamu,,,otherwise kazi bure na chipsi zake na masifa kibao yasiyokua na maana.
Sisi tuna copy, tuna paste kisha tuna edit kidogo tu ili kuharibu ushahidichips yai zege nilijua ugunduzi wa tz tu.
maana ,kn nchi hawajui kutengeneza chips yai zege
hahahaha,tuko vzr hapoSisi tuna copy, tuna paste kisha tuna edit kidogo tu ili kuharibu ushahidi
This made my day jamani ..😆😆😆Uislamu unakupeleka peponi. Peponi unapewa mabikira 72 wenye macho makubwa kama vikombe. Na nguvu za kiume za kugonga mademu elfu moja. Baada ya hapo unaenda kugida bia kwenye mto wa pombe.
Ukristo unakupeleka mbinguni, mbinguni ni mji wa lulu, barabara zake ni za dhahabu safi, huko ni kusifu na kuabudu. Hamna mademu wakali wala ulabu, hamna magari ya kifahari wala nini. Kuimba tu na kusema unastahili Bwana kupokea heshima, sifa na utukufu.
Chagua unataka kwenda wapi?
View attachment 2399085
Uislamu unakupeleka peponi. Peponi unapewa mabikira 72 wenye macho makubwa kama vikombe. Na nguvu za kiume za kugonga mademu elfu moja. Baada ya hapo unaenda kugida bia kwenye mto wa pombe.
Ukristo unakupeleka mbinguni, mbinguni ni mji wa lulu, barabara zake ni za dhahabu safi, huko ni kusifu na kuabudu. Hamna mademu wakali wala ulabu, hamna magari ya kifahari wala nini. Kuimba tu na kusema unastahili Bwana kupokea heshima, sifa na utukufu.
Chagua unataka kwenda wapi?
View attachment 2399085
Chips yai zege nilijua ugunduzi wa TZ tu.
Maana kuna nchi hawajui kutengeneza chips yai zege
Zee nyoko sana hili, bahhhNyanaume, upo babaa??🤣 mzee wa chips hahhaaa
Hapa tz tunajua kusonga ugali, na kupika makande n.k,, unayajua makande?? Tanzania bado tupo nyuma sana
makande au makangeHapa tz tunajua kusonga ugali, na kupika makande n.k,, unayajua makande?? Tanzania bado tupo nyuma sana
Puree ngoja ndugu zangu wa Gonja wajemakande au makange
Kwahiyo mbinguni kwetu sisi Wakristo hakutakua na minyanduano zaidi ya kuimba na kusifuUislamu unakupeleka peponi. Peponi unapewa mabikira 72 wenye macho makubwa kama vikombe. Na nguvu za kiume za kugonga mademu elfu moja. Baada ya hapo unaenda kugida bia kwenye mto wa pombe.
Ukristo unakupeleka mbinguni, mbinguni ni mji wa lulu, barabara zake ni za dhahabu safi, huko ni kusifu na kuabudu. Hamna mademu wakali wala ulabu, hamna magari ya kifahari wala nini. Kuimba tu na kusema unastahili Bwana kupokea heshima, sifa na utukufu.
Chagua unataka kwenda wapi?
View attachment 2399085
Ndio. Mbinguni zinaingia roho sio miiliKwahiyo mbinguni kwetu sisi Wakristo hakutakua na minyanduano zaidi ya kuimba na kusifu
Hahah hahah bah.... kweli tembea uone. Yaani kwa chips tu unapewa mwanduChips zilivyoharibia watoto wa shule masomo kwa kupachikwa mimba sidhani kama Mr.Crum anastahili pongezi
Unataka kuwanjunji malaika?Kwahiyo mbinguni kwetu sisi Wakristo hakutakua na minyanduano zaidi ya kuimba na kusifu
Yummy.... yummy yummy