tsk tsk !!! watakutafuta wenye shida hiyo, tehe teheSalaam tena wana forum.
Jamani naomba watu ambao amna shida na hii service naomba msichafue hii post waacheni watu wenye shida wasaidiwe!
Jamani wana forums be seriously!
Salaam wana forum!
Kutokana na email nyingi nazo zipata nimeamuwa kurusha na kuweka bayana kwenye safu hii.
Kwa wale watu ambao mnataka kujuwa email passwords za yahoo,hotmail,gmail,excite ...etc za boyfriends na girlfriends wenu tunawasaidia.
Baba au mama unataka kujuwa nini watoto wanafanya kwenye computer wakati wakiwa wenyewe,tutakusaidia na softwares.
Feel free to contact me in private.
Wewe kwa kiingereza unaitwa HACKER sasa unakuwa internet hacker na soon you will be mobile phone hacker watu wanaoweza kuaaccess passwords za watu au information without their consent and its not right. Kwa nchi za wenzetu ungechukuliwa hatua kwa sababu unainvade privacy ya mtu through hacking. Nakuomba uache try something else which will be useful than indulge yourself in other peoples business plus hao unaotaka wajoin your clique its not right.
Salaam wana forum!
Kutokana na email nyingi nazo zipata nimeamuwa kurusha na kuweka bayana kwenye safu hii.
Kwa wale watu ambao mnataka kujuwa email passwords za yahoo,hotmail,gmail,excite ...etc za boyfriends na girlfriends wenu tunawasaidia.
Baba au mama unataka kujuwa nini watoto wanafanya kwenye computer wakati wakiwa wenyewe,tutakusaidia na softwares.
Feel free to contact me in private.
kakaaaaa...mie nataka...unajuwa mapenzi bwana bila surprise sio mapenzi....inabidi mama ajue kweli ww ni supaman wake...hadi inbox yake wewe unaingia na kunyetishia aliyonayo...full ma sapuraiziiii....
kaka nipe mpango mzima....hii pia itanisaidia maana ninako ka-bi mdogo kamoja kati ya hawa masista duu wanaoongeza 90% kizungu...10% kiswahili cha kuokoteleza na kwa taaabu sana...kikiunganishwa na you know...nyiiingi...i need to get in her closets.
..ahahaha... ni maoni tu wadau...finito
mbona ushaanza kuogopa mapema? una siri gani. huyu mtaalam alete za simu fasta ndipo wenza watakuwa na adabu na matumizi ya hivyo vitu
Za kompyta hazina dili. Nataka kujua kinachoendelea kwenye sim ya mamsap bila yy kujua
Mtu kama akitaka kujua pass word ya email adress ya mkewe/mumewe si amuombe tuu! ya nini kuanza ku play ukachero wakati mume/mke ni wako mwenyewe???