Je unataka muundo gani wa katiba? Toa maon yako hapa.

Je unataka muundo gani wa katiba? Toa maon yako hapa.

Ikimbu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
301
Reaction score
32
Ukiwa wewe ni Mtanzania unaeutakia mema Muungano unasemaje juu ya Muundo wa serikali. Mimi maon yangu serikali iwe Moja tu, sio tatu au mbili kama ilivyo sasa sababu ninazo. Je wewe
 
Serikali moja sababu rahisi kabisa ni Tanganyika na Zanzibar ziliungana kutengeneza kitu kimoja sio vitu viwili au vitatu, huo sio muungano ndio maana Mwalimu alichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar ukawa kitu kimoja kuashiria Muungano.
 
Tatizo sio muundo wa muungano,tatizo wazanzbr na watanganyika wanautaka huo muungano,mm ni mzanzibr muungano huu wa kikoloni siutakiii,zanzbr kwanza.
 
Back
Top Bottom