Je unataka muundo upi wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? ni Serikali moja, mbili au tatu?

Je unataka muundo upi wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? ni Serikali moja, mbili au tatu?

Ikimbu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
301
Reaction score
32
Maoni yangu tuwe na Serikali moja tu. Maana Ni Jamhuri ya muungano, Tanganyika na Zanzibar ziliungana kutengeneza serikali moja kwa nini ziwe mbili au tatu? Kwa mfano Mme na mke wakiungana wanakuwa mwili mmoja. TUWE NA SERIKALI MOJA NA WALA SIO MBILI AU TATU.
 
Maoni Yangu Tuwe na serikali tatu. Wazanzibari wanataka serikali Yao means wanataka dola, sasa wakishapata hiyo na sisi Tuwe na Tangayinka then we have serikali ya jamuhuri ya muugano. Mimi am tired na Maneno ya Kila Siku muugano una shida unashida, let them have there dola we will be better off. Mbona Kenya Ipo sawa tu bila muugano na nchi au kisiwa kin genii it is a time we put the matter of muugano to rest for good.����
 
Mie siutaki kabisa huo muungano.
 
Serikali 1 = Kuimeza Zanzibar
Serikali 2 = Kuendeleza Kero
Serikali 3 = Kuvunja Muungano
Serikali 4 = Kuunganisha Afrika
 
Maoni yangu tuwe na Serikali moja tu. Maana Ni Jamhuri ya muungano, Tanganyika na Zanzibar ziliungana kutengeneza serikali moja kwa nini ziwe mbili au tatu? Kwa mfano Mme na mke wakiungana wanakuwa mwili mmoja. TUWE NA SERIKALI MOJA NA WALA SIO MBILI AU TATU.
kwa Wazanzibar hayo ni matusi kwao kuliko kuwa na serikali moja ni bora muungano ufe
 
Ndungu wabunge nawaomba suala hili la muungano msimamie serikali moja kwa wale wabunge wanaodhamini undugu wetu yani Tanganyika na Zanzabar, kwa wale wasiotaka kupoteza utaifa wao wasimamie serikali Tatu yaani zanzibar wawe na serikali yao na Tanganyika wawe na serikali yao alafu tuwe na serikali ya ubia Tanganyika na Zanzibar.habari ya serikali mbili haielezeki maana lazima nchi moja ipoteze utaifa wao,ni wabunge vilaza wa ccm tu, ndio wako tayari kupoteza utaifa wao,sisi watanganyika hatuko tayari kuendelea kupoteza utaifa wetu labda Wazanzibar wao waseme kwamba kuwe na serikali ya Tanganyika na ya muungano yaani wao wasiwe na serikali kama ilivyo sasa,hayo ndio mawazo yenye busara vinginevyo ni bora muungano ufe
 
Maoni yangu....kuwe na serikali nne (1) tanzania visiwani (2) tanzania pwani (3) tanzania bara na nne hiyo ya muungano.napendekeza hivi kwa sababu zifuatazo😛wani na visiwani walikuwa nchi moja nayo ni AZANIA nchi hiyo ilikuwa ni sehemu ya dola la ZANZIBAR nchi hiyo ya azania walikuwa na ardhi yao...elimu zao...uchumi wao...ndio wenye lugha ya kiswahili...utamaduni wao desturi zao imani yao...ni masikitiko makubwa mpaka leo bado tunakandamizwa..n
 
Back
Top Bottom