Hujaharibu sehemu ila nilitaka kukuuliza kitu ila nikawa nasahau,asa leo nimekuona nimekumbukaI hope sijaharibu sehemu.
Arithi yoyote mwenye password yangu......
Hujaharibu sehemu ila nilitaka kukuuliza kitu ila nikawa nasahau,asa leo nimekuona nimekumbuka
Nataka nikuPM...naomba ruksa
ukiingia moyoni mwangu itakua rahisi sanaNipe pw.
ukiingia moyoni mwangu itakua rahisi sana
Tamka neno I love youNipe pw ya moyo wako.
Tamka neno I love you
Ukinipenda tu password inajileta pmNdio password?