Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushauri.....
Utafiti uliofanywa huko UK umegundua kuwa watu wengi tunazingatia kunawa mikono baada ya kutoka chooni na kusahau kuwa hata simu zetu za mkononi ni chafu na zina bakteria. Soma hapa [url=http://quicknek.blogspot.com/2011/10/je-unatambua-kuwa-simu-yako-ya-mkononi Mi najua meza za maofisini ndiyo chafu kuliko vyoo!!
ahsante ba mdogo! nasubiri yako in realy !!ahsante feis buku kwa kujionyesha kwenye avatar hapo...ile ya zamani ilikuwa inakufanya uonekane mcharuko!