Ufanisi ni 100% mimi mwenyewe natumia hiyo mashine na inatumia umeme kwa kiasi kidogoUfanisi ukoje na hio mashine ni brand ipi
Hujajib kuhusu brand na model tuone spec tujilipueUfanisi ni 100% mimi mwenyewe natumia hiyo mashine na inatumia umeme kwa kiasi kidogo
Brand inaitwa YOKO, naweza nikakutoa wasiwasi kabisa ukitumia hii utakuja kinipa majibu baadaeHujajib kuhusu brand na model tuone spec tujilipue
endelea kumbana haswa...😂Hujajib kuhusu brand na model tuone spec tujilipue
Hata wewe kama una swali uliza, ninauhakika na bidhaa ninazouzaendelea kumbana haswa...😂
Wewe ni nani?Ufanisi ni 100% mimi mwenyewe natumia hiyo mashine na inatumia umeme kwa kiasi kidogo
1. Mimi ni mtu ambaye tayari nimeshatumia hii product.Wewe ni nani?
Ukitumia wewe ndo assurance ya ubora?
Tushawishi tununue bosi.
Hii ina uwezo wa kufua mashuka? Au mwisho soksi na boxer?
Umeme mdogo unapimwaje?
Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
Bei ni nafuu na reasonable ili kila mtu aweze ku afford, naamini hutojutia kutumia hii productNakua dilema sana na hio mashine kila nikiwaza jina na uwiano wa bei nakosa maamuzi sahihi ila kipengele cha kufua kinanichua sana sana
mzee baba si uweke oda pinduoni ya washing mashine kubwaNakua dilema sana na hio mashine kila nikiwaza jina na uwiano wa bei nakosa maamuzi sahihi ila kipengele cha kufua kinanichua sana sana
Ushanisoma id yangu juha wewe ngoja nibadili upepo angani upate tabumzee baba si uweke oda pinduoni ya washing mashine kubwa
Itategemea na ukubwa wa duvet, kwa sababu hiyo ni mini washing machineDuveti linaingia umo?
Wewe ubadili usibadili mimi hainihusu...IdiotUshanisoma id yangu juha wewe ngoja nibadili upepo angani upate tabu