Hii ni kwawakazi wa Dar, hawatumii mablanketiMatumizi mabaya ya pesa hiyo ukiweka blanket inafia hapohapo
Nielekeze namna ya kuweka oda huko pindouWewe ubadili usibadili mimi hainihusu...Idiot
Zakufulia nguo za ndaniUfanisi ukoje na hio mashine ni brand ipi
Zinakufa motor ninayo moja ofini bei ya motor ni kubwaMatumizi mabaya ya pesa hiyo ukiweka blanket inafia hapohapo
Haya ndio mambo ya kuambiana sasa hayaZinakufa motor ninayo moja ofini bei ya motor ni kubwa
Mimi ni fundi ipo ofisini kwangu imeungua motorHaya ndio mambo ya kuambiana sasa haya
Picha ya hio machine 👆Yoko washing mashine
Kg 3.5 = 120,000 tzs
Picha ya hio machine 👆
Umetumia kwa mda ganiUfanisi ni 100% mimi mwenyewe natumia hiyo mashine na inatumia umeme kwa kiasi kidogo
Nina almost mwaka sasa, na inafanya kazi vizuri.Umetumia kwa mda gani