Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Iko vizuri sanaChoose the seed plan inayoendana na kipato chako. The easy way ni kutumia Vodacom M-Pawa au tengeneza kibubuView attachment 1664727
Saving acc. Ni kwa benki hipi mzee na je kama mimi mshahara wangu kama haupitii benki hapo inakuaje
bank ni njia nzuri na salama zaidi fixed a/cNa ndiyo aim yangu nataka mpk mwakani nifanye jambo kwa saving nitakayo ifanya. Sema sasa ishu inakuja ni njia gn nitumie kusave bank au vikoba au wap
Nimeipenda sana hii mkuuChoose the seed plan inayoendana na kipato chako. The easy way ni kutumia Vodacom M-Pawa au tengeneza kibubuView attachment 1664727
Sijahielewa hii ipo vipi mkuuTumia hii.....
Shukrani sana mkuuNafikiri bank zote zina access hiyo ila kama huna hapo inabidi ufungue account kwenye bank nzuri ambayo haina faida kubwa
Pita bank zote na uliza terms zao zikoje
😂😂😂Ndio lkn sina namna sasaMwizi akipita na sabufa atakuwa amekupiga mara mbili
[emoji2][emoji2][emoji2]Mwizi akipita na sabufa atakuwa amekupiga mara mbili
Tumia bank mzee[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio lkn sina namna sasa
Makato makubwa mkuu.Tumia bank mzee
Kukimbia makato ndy kutafta majangaMakato makubwa mkuu.
Mwizi akipita na sabufa atakuwa amekupiga mara mbili
hahahaha umetisha nduguKwenye kile kishomo cha sabufa nazidondosha ndani.. Kazi kwisha
For sure ..hata kino mitaa ya karibu na american chips Kuna lodge pale now imekua nyumba ya kupangaSiku hizi biashara ya guest imekuwa ngumu sana mkuu kuna lodge kama mbili jamaa kaamua kufanya vyumba vya kupanga ty
Kesho tunawapigaMkuu weka Bank
Kwan kuna tatizo gani
Fungua account
Weka pesa yako
Mzee nishawai kusikia kuhusu hii ishu ya kununua fedha ila sikuelewa