Je, unaungaje chakula chako kwa kutumia nazi?

umenikumbusha mbali duuuuh na maandazi au chapatiπŸ˜› mambo yanakua mazuri
 
Kij
Wee tena yalete mdogo wangu nimeyakumbuka lol.

Mi napenda yale ambayo ukiyatafuna yana nata nata yaani huwa ni mwendo wa kujilamba tuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kijaluba
Mahabubaa
Kopaa
La mchanaa
Ukililaaa
Lanatanaa

Walisikika watoto wale wakiimba na kucheza
Umenikumbusha utoto wangu Wallah πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ€£πŸ€£πŸ˜€
 
Wee tena yalete mdogo wangu nimeyakumbuka lol.

Mi napenda yale ambayo ukiyatafuna yana nata nata yaani huwa ni mwendo wa kujilamba tuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kuandika kipaji dada ngojea nipate wasaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…