Shilingi pande 2
Member
- Mar 9, 2023
- 6
- 3
shukran sana kiongozNenda kw Afisa ardhi WA wilaya yako atakufanyia unavyotak kikukwa ku.mpoza kidg Pes Sizan Kam inavuka 50k
shukran sana kiongozi, ubarikiweNenda ofisi za Idara ya Ardhi katika halmashauri ya Jiji/Mji/Manispaa au Wilaya unayokaa..
Waambie unahitaji Block Plan.
Ila lazima ukumbuke: Jina la Kata,Mtaa na namba ya Kitalu.
Nenda kw Afisa ardhi WA wilaya yako atakufanyia unavyotak kikukwa ku.mpoza kidg Pes Sizan Kam inavuka 50k
gharama yake ni sh. 10,000/= tu unapewa control number ukilipa unapewa mchoro wako.shukran sana kiongozi, ubarikiwe
Yeah,hivi vitu hata haitaji bongo,kwa maana ni haki yako.gharama yake ni sh. 10,000/= tu unapewa control number ukilipa unapewa mchoro wako.