Je, unaweza kuathirika na UKIMWI kwa kushika Kondomu iliyotumika?

Je, unaweza kuathirika na UKIMWI kwa kushika Kondomu iliyotumika?

Rai Pazzy

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2015
Posts
493
Reaction score
187
Je, unaweza pata UKIMWI kwa kushika Kondomu iliyotumika na mtu aliyekuwa na ugonjwa wa UKIMWI bila kuvaa gloves au precaution yeyote?
 
kama unamichubuko mwilini mwako na majimaji ya manii yaliyotoka kwenye condom yatagusishwa katika michubuko hiyo kuna uwezekano ukapata ukimwi. kama unafanya kazi katika guest house hakikisha unatumia gloves kushika vitu hivyo.
 
Je, unaweza pata UKIMWI kwa kushika Kondomu iliyotumika na mtu aliyekuwa na ugonjwa wa UKIMWI bila kuvaa gloves au precaution yeyote?

Ukimwi hauambukizwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.Ukimwi hauambukizwi hata kwa njia ya damu,itakuwa kushika kondomu?Je,wewe unadhani inaingia akilini kumuambukiza mtu mwingine matatizo yako ya kinga ya mwili?Unajua kinga ya mwili ni nini?Je unaweza kumwambukiza mtu mwingine kinga ya mwili wako?

Hebu jipe muda kidogo kulifikiria hili.Labda unazungumzia kuambukizwa yule HIV feki ambaye pia hasababishi UKIMWI.HIV ni hewa/hayupo hivyo hawezi kusababisha chochote.Kama HIV ni hewa basi HIV/AIDS nayo ni hewa.

kama unamichubuko mwilini mwako na majimaji ya manii yaliyotoka kwenye condom yatagusishwa katika michubuko hiyo kuna uwezekano ukapata ukimwi. kama unafanya kazi katika guest house hakikisha unatumia gloves kushika vitu hivyo.

Ukimwi haumbukizwi,ukimwi ni hali tu ya kinga ya mtu,ukimwi hausababishwi na vijidudu hivyo hauwezi kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.Fikiri kwa undani zaidi utanielewa tu.HIV ni feki/hewa,hivyo HIV/AIDS nayo ni hewa.

"HIV/AIDS is a mindset disease".Hakuna ugonjwa unaoitwa UKIMWI ambao unasababishwa na HIV.UKIMWI ni hali ya kinga ambayo husababishwa na lifestyle tu na sio HIV.Wana JF wengi wanajua ukweli huu,hebu na ninyi jikomboeni na utumwa huu kwa manufaa yenu na ndugu zenu.

HIV/AIDS ipo kwa lengo la kuuza dawa feki za ARVs tu ambazo hazitibu chochote na ndio hizi ARVs zinasababisha UKIMWI kwa wale wanaozitumia.HIV ni mwamvuli tu,ARVs ndio mpango mzima unaolaza watu makaburini.Kaeni chonjo.
 
Back
Top Bottom