Je Unaweza Kubeba Mimba Ukiwa Na Miaka 43?

Je Unaweza Kubeba Mimba Ukiwa Na Miaka 43?

babu chodo

Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
90
Reaction score
23
Naombeni ushauri, nina dada yangu ana miaka arobaini na tatu ana mtoto mmoja ana miaka kumi na tano. Mume wake alifariki, sasa amepata mume anataka kuzaa nae.

Je, kiafya ni sawa?
 
Anaweza. Ila atachoka kweli tofauti na ujauzito wa mwanzo
 
Naombeni ushauri, nina dada yangu ana miaka arobaini na tatu ana mtoto mmoja ana miaka kumi na tano.Mume wake alifariki,sasa amepata mume anataka kuzaa nae.Je, kiafya ni sawa?

Nia yake kubwa naona ni kuhakikisha hafi bila kuacha mtoto yatima.
 
inasemekana Akizidi zaidi ya miaka 50 Kuna uwezekano wa kuzaa zezeta..
 
Naombeni ushauri, nina dada yangu ana miaka arobaini na tatu ana mtoto mmoja ana miaka kumi na tano.Mume wake alifariki,sasa amepata mume anataka kuzaa nae.Je, kiafya ni sawa?

Anazaa bila wasiwasi ila kwa operation ndo salama zaidi.na mtoto anakuwa mzima na akili timamu nna mfano kuntu.
 
Back
Top Bottom