Je unaweza kufanya hili jambo ili upewe zawadi ya million 50?

Mwalupale

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2012
Posts
1,049
Reaction score
674


Pichani hapo ni bibi kizee anaitwa Emma Martina Luigia Morano kutoka Italy. Ndio mwanamke mzee kuliko wote duniani kwasasa. Amezaliwa mwaka 1899.
Kwasasa ana umri wa miaka 116. Je ukiambiwa mpige makofi kumi ya nguvu Ili upewe millioni 50 utaweza kuthubutu?
 
mtu anachinjwa ndo itakuwa kumpa vibao vya maana anachezea kama kawa.
 
mtu anachinjwa ndo itakuwa kumpa vibao vya maana anachezea kama kawa.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Hivi Tukio La Kupatwa Kwa Mwezi Ni Saa Ngapi?.
 
Ayo mawazo yako ukapimwe ubongo


vibao lazima apewe vya maana unasahau hii ni forum huru kila mmoja na wazo lake hatuwez kufanana ukiongea hivyo nami nakuona ubongo wako haupo sawa ndi mana mtoa mada kauliza anategemea majibu tofaut
 
Naona hili swali umelizunguka kuna namna ulitaka kuuliza umejishtukia....makofi?
 
Mzee kuliko wote duniani!!! How sure you are??
 
Ina maana afrika hakuna aliyemzid huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…