Je! Unaweza kufanya Ufugaji Katika Mabanda ya Kukodi

Je! Unaweza kufanya Ufugaji Katika Mabanda ya Kukodi

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,663
Habari Jamiiforums.

Mabibi na Mabwana,
Ombi langu kwenu ni hili.

Je Ninaweza kupanga mabanda ya Kufuga kuku Faida ikawepo?

Kuku ninaotarajia kuwafuga ni Kienyeji(Asili)
Mabanda kwa mwezi kodi ni takribani elf ishirini Fedha za Tanzania.

Kwa minajili hiyo Wadau mnanishauri vipi ili Nirejeshe Faida haraka ,Ukizingatia nyumba hizo ni za Kupanga kila mwezi yabidi nilipe kodi.
Kwenu Wadau.
Mama Joe Malila miss chagga
 
Last edited by a moderator:
inawezekana kama utaweka kuku wengi ili kufidia hizo kodi. Kama faida kwa mwezi ni ndogo kuliko kodi basi ni hasara lakini iwapo kuku ni wengi hela ya kodi inachukua sehemu ndogo sana basi fuga
 
inawezekana kama utaweka kuku wengi ili kufidia hizo kodi. Kama faida kwa mwezi ni ndogo kuliko kodi basi ni hasara lakini iwapo kuku ni wengi hela ya kodi inachukua sehemu ndogo sana basi fuga

Vizuri
Mama Joe
 
Last edited by a moderator:
Mama Joe you are so special.Nafuatilia sana Threads za ufugaji kuku nakuona unavyojitahidi kusaidia. Barikiwa sana mama
 
Last edited by a moderator:
20,000 kwa mwezi ni sawa na 240,000 kwa mwaka. Nakushauri kama umejipanga vizuri fuga tu. wala sio gharama kubwa ukilinganisha na wanaochukua fremu kwa laki 5 na wanauza bidhaa za wenzao kwa udalali, ni deal. Cha muhimu niujue hesabu ya gharama zote pamoja na usimamizi wa huo mradi wako. na mimi natafuta hayo mabanda kama yanapatikana. Kila la heri
 
20,000 kwa mwezi ni sawa na 240,000 kwa mwaka. Nakushauri kama umejipanga vizuri fuga tu. wala sio gharama kubwa ukilinganisha na wanaochukua fremu kwa laki 5 na wanauza bidhaa za wenzao kwa udalali, ni deal. Cha muhimu niujue hesabu ya gharama zote pamoja na usimamizi wa huo mradi wako. na mimi natafuta hayo mabanda kama yanapatikana. Kila la heri

Vizuri Da Pretty
 
Last edited by a moderator:
Mama Joe you are so special.Nafuatilia sana Threads za ufugaji kuku nakuona unavyojitahidi kusaidia. Barikiwa sana mama
thanks dear ila na mie nimejifunzia hapa mengi kuhusu biashara, nimejaribu na nikafanikiwa. Stayblessed too.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom