uzeebusara
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 657
- 514
Habari zenu Wakuu,
Naomba kuuliza. Je sports rims size 20 ikiwa na tyres size 225/35/R20 unaweza kufunga ktk gari aina ya Toyota Mark X baada ya kuiinua kwa kuweka 'spacer mm10' na iwe vema barabarani hata ukiwa katika mwendo mkubwa?
Naomba kupata ushauri kwa wataalam na mafundi wa magari
1. Nini madhara yake?
2. Nini hasara zake?
Naomba kuuliza. Je sports rims size 20 ikiwa na tyres size 225/35/R20 unaweza kufunga ktk gari aina ya Toyota Mark X baada ya kuiinua kwa kuweka 'spacer mm10' na iwe vema barabarani hata ukiwa katika mwendo mkubwa?
Naomba kupata ushauri kwa wataalam na mafundi wa magari
1. Nini madhara yake?
2. Nini hasara zake?