Je unaweza kukaa siku ngapi bila 'kukata kilaji'?

koba lee

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2016
Posts
981
Reaction score
1,606
Kwa wale wanywaji siongelei walevi,

Hivi unaweza kukaa siku ngapi hujatupia hata bia mbili? Maana mimi leo tokea naamka pale kitandani niliapa kuwa sinywi tena mpaka siku ya sabasaba, lakini mpenzi msomaji huwez amini nimetoka kazini hata home sijafika nimepitia grocery hapa niko bia ya pili niko nawaza niongeze ya pili au vipi.

Jamani haya ni mapepo au niaje?
 
Ongeza tu mzee, afu ukifika home unalala, ukiamka bia zimekata, unenda tigo pesa/pesa/a.money, unatoa pesa unaenda kuongeza stimu za jioni, raha sanaaaaaaaaaaaa..........Unakunywa mchana? Uko vizuri aiseee......Siku ingine ukisikia hamu ya kupiga vitu, Nunua kukuyako ya kienyeji, pelekea familia ikale......Pombe sio pumzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…