Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Dah! Hizi inshu acha kabisa.
1. Wakati naanza kazi; nilipanga nyumba moja ambayo kulikuwa na mrembo mmoja. Alikuwa na rafiki yake aliyenipebda ila akashindwa kunitamkia live.

Siku moja saa 5 akagonga mlango wangu akasema kakuta rafiki yake kafunga na simu yake haipatikani , hivyo anaomba alale geto.
Wakati huo nami niko na rafiki yangu ila alikuwa kalewa kinoma. Jamaa akataka amgonge demu akazingua; akahamia upande wangu wa kitanda.

Pombe ilizidi kumkolea akalala fofofo. Nikamla yule demu kiulaini hadi kunakucha.
Jamaa alivyojishtua asubuhi akakuta manyoya.

Tulidumu pamoja 6 months akaenda kwao Kigali. Baada ya hapo hatukuonana tena hadi leo.
 
Bila shaka ulisoma Usagara boss
 
niliopoa mtoto wa mchungaji siku ya mkesha wa mwaka mpya tukakokotana hao hadi ndani ya cruza ya kanisa nikamkamua demu vyakutosha ile namaliza tunaskia mlango unafunguliwa na mtuanatoka hatukumuona sababu ya giza yana alishuhudia mchezo hadi mwisho
 
Hahahaha....mnatoa harufu ya kitu gani mkuu?
 
Jamaa ni Zaidi ya Pono sio kwa usingizi huo asee hahaha
 
Na mpaka leo bado unapapatikia vijana wa tisheti na jeans waje kwenye party. umri haurudi nyuma shoga yangu
 
Haijawahi nitokea hiyo ila kuna scenario moja ilinitokea kipindi nipo chuoni deca moja....

Mimi nilikua namkula demu wangu kitanda cha juu na kitanda cha chini kuna mshikaji wangu pia alikua anakula demu wake....
Mngefanya swap mkuu 🙂.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…