Je, unaweza kumshtaki wakili tapeli TLS?

Je, unaweza kumshtaki wakili tapeli TLS?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Kumekuwa na tabia kwa baadhi ya mawakili kuwatapeli wananchi kwa sababu ya kutojuwa sheria na mawakili hawa kuutumia umbumbumbu wa sheria wa wananchi kuwafanyia matendo ya dhulma badala ya kuwapa elimu.

Sasa nauliza TLS wana kitengo kama una malalamiko na uadilifu wa wakili fulani kwenda kumshtaki kwenye hiki chombo chao?

Najuwa vizuri hawa jamaa wanaitana learned brother kwahiyo lazima kuna kulindana ila nataka kujuwa utaratibu ukoje wa kumstaki wakili tapeli anayetumia taaluma yake vibaya?
 
Poleni mno kwa waliofikwa na utapeli wa aina hii ndio maana ni vema sheria mama ikaandikwa upya, faida mojawapo tutapata judiciary iliyo huru, isiyoingiliwa kirahisi na politicians, mfumo huu utatupatia taasisi zinazojitegemea na hivyo kutoa nafasi wa kupata haki kutoka mahakamani ikiwa ni pamoja kumfungulia mashitaka yeyote including a president, kwa sasa ni ngumu maana TLS hawana recourse iliyohuru,next time ingia mkataba na mwanasheria ili awe personal lawyer wako, una kesi au hauna kila mwezi unamlipa.
 
Poleni mno kwa waliofikwa na utapeli wa aina hii ndio maana ni vema sheria mama ikaandikwa upya, faida mojawapo tutapata judiciary iliyo huru, isiyoingiliwa kirahisi na politicians, mfumo huu utatupatia taasisi zinazojitegemea na hivyo kutoa nafasi wa kupata haki kutoka mahakamani ikiwa ni pamoja kumfungulia mashitaka yeyote including a president, kwa sasa ni ngumu maana TLS hawana recourse iliyohuru,next time ingia mkataba na mwanasheria ili awe personal lawyer wako, una kesi au hauna kila mwezi unamlipa.
Ndugu yangu kodi ya nyumba inawasumbuwa watu ndio uwaambie kumlipa kila mwezi personal lawyer?
 
Ndugu yangu kodi ya nyumba inawasumbuwa watu ndio uwaambie kumlipa kila mwezi personal lawyer?
Ndio maana kuna mtu alitufanya watanzania kuwa mazuzu (definitely mimi sio zuzu),unahitaji uwe na GP wako, mwanasheria wako, bond man wako etc etc ndiko dunia inakoelekea mkuu!,pls usiwe zuzu nawe..ona politicians wanaokutawala matibabu yao India, uk au milpark jhb!wewe Amana dispensary!
 
wanaogombea urais huko wanakwenda kuwa wanaharakati,chama sidhani kama kina utaratibu wa kusaidia wananchi wa kipato cha chini ambao hawana uwezo wa kukodisha mwanansheria,jibu utakalopewa huko ni"ilitakiwa uchumue mwanansheria anayetambulika"

mwanasheria anayetambulika=PESA
 
Unaweza kumshitaki ndio. Kasome kesi ya NOCTON v. LORD ASHBURTON [1914]AC 932 G. 4,5&6
 
Yani ili nieleweke, nimenunuwa nyumba hapa Dar, aliyeniuzia kanipeleka kwa wakili wake kusaini paper bila wao kupatana wanalipana vipi, kila kitu nimemaliza makaratasi tumesaini hati ninazo na pesa nimewaingizia kwenye account sasa ndio wakili anamdai jamaa pesa ambayo angemwambia tangu mwanzo angeachana naye.

Kwakuwa mawakili mahakamani ni sebuleni kwao amefunguwa kesi mahakama kuu anadai kiasi kikubwa cha pesa na mimi nimejumuishwa kwenye kesi ndio msingi wa kuomba ufafanuzi.

Ila kwa wanaozitumia mahakama vibaya hata sisi tuna mahakama zetu vilingeni, maiti huwa haiongei.
 
Kuna advocate comitee unajaza form online na itakua kama kesi anaitwa mbele ya committe ambae judge ni m/ kiti
 
Ndugu yangu kodi ya nyumba inawasumbuwa watu ndio uwaambie kumlipa kila mwezi personal lawyer?
Huyo Mshikaji anazani system za Europe na Africa zipo! Tanzania kupata ugali wa siku tu mtihani, ndiyo uwe unamlipa Mwanasheria kila mwezi kisa kua na personal lawyer!!?
 
Kumekuwa na tabia kwa baadhi ya mawakili kuwatapeli wananchi kwa sababu ya kutojuwa sheria na mawakili hawa kuutumia umbumbumbu wa sheria wa wananchi kuwafanyia matendo ya dhulma badala ya kuwapa elimu.

Sasa nauliza TLS wana kitengo kama una malalamiko na uadilifu wa wakili fulani kwenda kumshtaki kwenye hiki chombo chao?

Najuwa vizuri hawa jamaa wanaitana learned brother kwahiyo lazima kuna kulindana ila nataka kujuwa utaratibu ukoje wa kumstaki wakili tapeli anayetumia taaluma yake vibaya?

wakili TLS walio wengi ni matapeli.​

Wananunua gari nzuri moja akitokea mahakamani utadhani kichwani kuna kitu cha maana.​

Akiaanza kupigwa maswali jasho linaanza kumtoka anavua Hata koti.​

Wengine wanavaa sketi fupi kujiuza kwa wateja zao kichwani Hakuna shule.​

 
Naomba kufahamu yupi bora kati ya wakili wa serikali na wakili anayejitegemea? Kama unahitaji wakili labda una case complicated kidogo yupi atafaa kati ya hao wawili? Msaada please
 
Back
Top Bottom