Blackafrica
Senior Member
- Jun 26, 2021
- 141
- 401
Naandika kwa uchungu sana, vyama vyote kwa wakati huu havina maono wala ajenda ya kuisimamia, wanachama wake na viongozi wake, wamejaa unafiki na uwongo wa hali ya juu, nadhani ifike mahari tuwe na mgombea au wagombea binafsi katika nyanja mbali mbali za kisiasa, kijamii, na kiuchumi.
Msaada pekee tulionao na mabadiliko ya katika mpya, ewe Mtz amka na uwaamshe waliolala, nchi inahitaji katiba mpya ili tufike kaanani eeh! Mwenyezi Mungu utusaidie tuweze kujisaidia hapa tulipokwama.
Msaada pekee tulionao na mabadiliko ya katika mpya, ewe Mtz amka na uwaamshe waliolala, nchi inahitaji katiba mpya ili tufike kaanani eeh! Mwenyezi Mungu utusaidie tuweze kujisaidia hapa tulipokwama.