DR.POLITICS
Member
- Dec 16, 2015
- 69
- 42
Inawezekana ila sio kwa kupewa mkopo na kama ulishawah kupewa mkopo b4 hautapewa tena,Habari wadau wa elimu, nimekuwa nikijiuliza sana juu ya hili lakini sikupata jibu lenye ukweli ndani yake.
Mfano, mimi nina degree/Masters ya engineering, baada ya kuona upepo mtaani hauko vizuri nikapata wazo la kusoma degree ya Mass communication au degree ya accountancy. Pengine kama nitafanikisha mojawapo niongezee na degree nyingine mfano agriculture. Je, hapa nchini Tanzania inaruhusiwa?
Je anaweza kupewa mkopo?
Ikiwa haiwezekani, sababu ni zipi zenye nguvu?
Sawa, so njia ya kujiunga ni directly chuoni au kupitia TCU?Inawezekana ila sio kwa kupewa mkopo na kama ulishawah kupewa mkopo b4 hautapewa tena,
Kwa sera za mikopo ya Elimu ya juu ni mara moja tu unapewa
Hapana mkuu, swali nimeuliza nataka kujua. Hayo mengine hayana sihusiki nayoUmepoteza muda kwa kusoma degree ya kwanza na kazi hujapata, unapokwenda kusoma nyingine zitakuwa hazinawahitimu na kazi itakuwepo kukusubiri wewe. Au umezaliwa kuendelea kupoteza muda
mfumo wa sasa hivi unaombea chuoni nasikia mkuuSawa, so njia ya kujiunga ni directly chuoni au kupitia TCU?
Wengine hujiajiri wenyewe, lengo ni kufuata fursaUmepoteza muda kwa kusoma degree ya kwanza na kazi hujapata, unapokwenda kusoma nyingine zitakuwa hazinawahitimu na kazi itakuwepo kukusubiri wewe. Au umezaliwa kuendelea kupoteza muda
Nadhani nimeeleweka vibaya, ila maudhui hapo ni kufahamu tu kama inawezekana au la.Tutumie maarifa tunayoyapata kujikomboa kifikra, kiuchumi na kijamii. Degree nyingi sio njia ya kutoboa. Kuna mwanazuoni aliwahi kusema kwamba "education is what you remember after forgetting everthing that you have learnt at school". . sasa sisi wabongo tunakazana kusoma tuuu bila malengo mahsusi
Kuelewa swali nako kuna kazi yake..Umepoteza muda kwa kusoma degree ya kwanza na kazi hujapata, unapokwenda kusoma nyingine zitakuwa hazinawahitimu na kazi itakuwepo kukusubiri wewe. Au umezaliwa kuendelea kupoteza muda
Wengine hujiajiri wenyewe, lengo ni kufuata fursa