Je, unaweza kusomea mafunzo ya afya ukiwa JKT?

HAFIDH FADHIL

Member
Joined
Jan 20, 2020
Posts
9
Reaction score
5
Mimi ilikuwa nauliza itokee mtu amemaliza Form Four au Form Six, baadaye akataka kujiunga na JKT, je kule anaweza kusomea mafunzo flani kwa mfano kama udaktari au uhasibu au inakuwa watu wote wanajifunza sawa miaka yote mitatu sasa hivi?
 
Jkt mnafundishwa nidhamu ya kijeshi, uzalendo, ukakamavu, elimu ya kujitolea na kutokukata tamaa baasi. Kama umepata bahati ya kuingia na professional yako nafasi za ajira kwenye vyombo vya ulininzi na usalama zikitoka utachukuliwa kwa uraisi tofauti na fresh from school ambaye hauna utaalamu wowote. NB: kama hauna utaalamu wowote na umri unaruhusu soma course yeyote unayoipenda ukimaliza apply jkt. Ila course muhimu ambazo ni easy kupata ajira ukiwa Jkt ni za afya, engeneering, uchumi, utawala, na ugavi.
 
Apana, ukipata ajira JW, Magereza au Zimamoto ndo utasoma unacho kitaka
 
Thanks veoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…