Je unaweza kutahiriwa ukiwa na miaka zaidi ya 45?

Kutairiwa ni rahisi sana kwani ni kaoperesheni kadogo tu waweza fanya wakati wowote, ila ukumbuke kutoa Govi ni rahisi kimbembe ni ukitaka kurudisha govi lako, ndiyo maana mimi nasita sana kutoa Govi maana nimeisha lizoea
Govi ni zuri, hua lina makunjokunjo ambayo hunogesha mambo wakati wa kutafunana
 
INA madhara mkuu,kwanza utapoteza damu nyingi wakati wa kutairiwa pili jeraha litatumia muda mwingi pasipo kupona hii ni kutokana na kudhoofika kwa viungo vya kwa uzee na pia itakupelekea kupata magonjwa mengne n.k
 
Unaweza kutahiriwa,
tatizo ni kuwa kutokana na umri unatakiwa usiwe na mawazo ya
wanawake hadi upone; mishipa ikisimama kidonda kinachelewa kupona;
Utazuiaje mawazo sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…