Je unaweza kutambua thamani ya jengo kwa kutumia ramani ya jengo husika?

Je unaweza kutambua thamani ya jengo kwa kutumia ramani ya jengo husika?

kanuni za ujenzi 1sqm hujengwa kwa laki tano ila inaweza kupungua au kuongezeka kulingana na jiografia ya kiwanja unachotaka kujenga..wataalamu njoo mnisahihishe me mwenyewe cjui sana
Nami kuna mahala nilisikia hivyo mkuu

Sasa kiwanja kina skweamita 145

Kwaio tuseme ni 145 × 500000
 
Kuna aina kadhaa za kufanya building estimates,,ni somo pana ngoja niwape mbili
1. ELEMENTAL ESTIMATES hii unakua na mchoro wenye details zote then inaandaliwa BOQ (BILL OF QUANTITIES) hio inakupa uhasilia wa makadirio ya ujenz up to 95%

2. SUPERFICIAL AREA ESTIMATES, Hii ndio aina nyingine ambayo wewe itakufaa zaid pia itakupa jibu lako pia hata serikali hupenda kuitumia katika kufanya preliminary building estimates,, hapa fanya kuchukua square meter zako unazo fikiria kujenga zidisha kwa cost per square meter value

NOTE.: kila aina ya jengo, mahali litakapo jengwa, Purpose ya jengo Hilo ina cost/square meter value yake. Chart hio ya ya cost per square meter hio apo 👇👇 chini msikariri lakin Tano tu.
Cathbert Swai - Quantity Surveyor🤝
 

Attachments

  • IMG-20240803-WA0008.jpg
    IMG-20240803-WA0008.jpg
    73 KB · Views: 5
Kuna aina kadhaa za kufanya building estimates,,ni somo pana ngoja niwape mbili
1. ELEMENTAL ESTIMATES hii unakua na mchoro wenye details zote then inaandaliwa BOQ (BILL OF QUANTITIES) hio inakupa uhasilia wa makadirio ya ujenz up to 95%

2. SUPERFICIAL AREA ESTIMATES, Hii ndio aina nyingine ambayo wewe itakufaa zaid pia itakupa jibu lako pia hata serikali hupenda kuitumia katika kufanya preliminary building estimates,, hapa fanya kuchukua square meter zako unazo fikiria kujenga zidisha kwa cost per square meter value

NOTE.: kila aina ya jengo, mahali litakapo jengwa, Purpose ya jengo Hilo ina cost/square meter value yake. Chart hio ya ya cost per square meter hio apo [emoji116][emoji116] chini msikariri lakin Tano tu.
Cathbert Swai - Quantity Surveyor[emoji1666]
Asamte sana.mkuu, umenifungua macho sana..
Hio option ya pili, naweza kuita QS akafanya hio survey na kunipa document zilizopigwa muhur kabisa ku cerrtify thamani halisi kulingana na muongozo huo ambao uko kihalali kabisa
 
Hizi kanuni za ujenzi ukizifata (useme eti upige hesabu..unaweza sema bora nijenge mwili tu nyumba baadae) kama umeamua kujenga we jilipue kama mabaharia hela itakapoishia unapumzikia hapohapo..tofali sio mikate useme zitaoza
 
Back
Top Bottom