Je, unaweza kutumia mbao za kituruki (MDF) kutengeneza milango ya nyumba?

kikaniki

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
508
Reaction score
968
Kuna hizi mbao (artificial) zinaitwa MDF boards. Je, unaweza kuzitumia kutengeneza milango ya nyumba/hasa ya vyumbani? Je, katika pitapita zako katika majumba ya watu au katika viwanda vya useremala..umewahi kuiona milango ya MDF. Vipi uimara wake?

Picha ya MDF board nimeiambatanisha

 
MDF ni nzur ila kwa mlango apana kwan syo imara kwanz maji yakigusa ina vimba chap japo ikipigwa sanding sealer na rangi ya kupulza hayapeny.Bodi hizo nazkubal kweny furniture kama:kabat,meza,viti (lazma miguu iwe ya mbao)ila mlango binafsi sijawahi kuona pia siwez weka mlango wa aina hii hata kitanda cha MDF sikiamin sana japo mimi nmefunga pannel ukutan zkafungwa taa na switch zake tu ila kitanda ni kingne.
 
Nashukuru sana mdau Full charge.
 
Bora utumie marine au plywood ya 18mm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…